Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Habarini Katika kipindi hiki cha maambikizi ya ugonjwa huu hatari, naomba niwakumbushe au niwatahadharishe wakazi wote wa Zanzibar. 1. Ni usafiri wa daladala zinaitwa chai maharage Ukweli...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuna makala nilisoma ilieleza kuhusu mgogoro wa mwalimu na Moringe naomba kujua ukweli jambo hili asante
0 Reactions
2 Replies
888 Views
Mgogoro kati ya management na wafanyakazi wa Impala group of Hotels unatarajiwa kutua bungeni. Idara ya kazi Arusha imeshindwa kabisa kushughullikia na kumaliza mgogoro. Pia NSSF wameshindwa...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
MALALAMIKO DHIDI YA AFISA UTUMISHI WA WILAYA YA HAI JUU YA UPENDELEO KWA WATUMISHI Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Hai dhidi ya afisa...
1 Reactions
48 Replies
9K Views
Kuna jamaa ninae muamini kabisa na ni kiongozi kutoka moja ya Chama ambacho viongozi wao alikuwa ikulu Jana amenieleza ukiachana na mambo ya auchaguzi kuwa huru na wa haki kuna Shariti moja...
42 Reactions
131 Replies
13K Views
Ni taharuki katika viunga vya mitaa ya ufipa, taarifa zisizo rasmi ni kuwa Katibu Mkuu bora zaidi wa Chama Afrika Mh. John John Mnyika anatarajia kufanya mabadiliko makubwa ya think tanks wa chama...
5 Reactions
29 Replies
6K Views
Habari wananchi! Taarifa inayofanyiwa kazi na ccm hasa makada watiifu ambao ni majaji wa mahakama kuu ni kuhakikisha viongozi wakuu wa upinzani kufungwa jela walau miezi sita na kuendelea ili...
23 Reactions
119 Replies
12K Views
  • Closed
Habari za leo waungwana? Kuna taarifa toka chini ya kapeti kuwa kijana mchapa kazi na mwenye juhudi katika kuhakikisha taifa letu lina songa mbele Mh. Paul Makonda atahamishiwa mkoani Geita kama...
7 Reactions
50 Replies
6K Views
Inasemeka KUB Mbowe atamtumbua James Mbatia kutoka kwenye baraza lake la mawaziri vivuli wakati wowote kuanzia sasa. Nafasi ya Mbatia inaweza kujazwa na mbunge wa Kigoma mjini mh Zitto Kabwe kama...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu naendelea kuwaletea Data za nini kilichojiri pale Ikulu siku mkuu kakutana na NCCR, ACT na CUF. Mtu wangu wa karibu sana ambaye ni kuiongozi wa juu wa moja ya Chama kilichoitwa Ikulu...
18 Reactions
76 Replies
8K Views
Aliyekuwa kada wa muda mrefu wa Chama Cha Mapinduzi, Waziri wa Mambo ya Nje, Kachero mbobezi kama anavyoitwa na wapambe wake, Ndugu Bernard Membe anatazamiwa kujiunga na Chama Cha ACT-Wazalendo...
15 Reactions
72 Replies
11K Views
  • Closed
Ndugu zangu, Bado ni tetesi lakini hapa JF ni muhimu huu mjadala ukawepo kwa afya ya siasa za nchi.Zitto Kabwe ndiye mwanasiasa pekee aliyemtembelea Tundu Lissu mara tano hospitalini,mara tatu...
12 Reactions
238 Replies
24K Views
Habari wakuu, Anaandika kada wa CCM, Bolleni Ngeti Uoga ukikuzidi unaweza kujikuta unajikimbia. Mchakato wa kumfungulia kesi ya utakatishaji wa Fedha (Money Laundering), Bernard Membe kuhusu...
20 Reactions
207 Replies
28K Views
Baada ya aliyekuwa Mbunge wa Ndanda Cecil Mwambe kuhamia CCM inaelezwa kuwa madiwani wawili wa jimbo la Mtama watajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa. Taarifa zinadai kuwa huko Ndanda maelfu...
2 Reactions
74 Replies
6K Views
Kuna taarifa zinaeleza ya kwamba umoja wa vijana wa CCM wilaya ya Iramba wameingia katika mtafaruku mkubwa sana hii ni kutokana na mgogoro uliopo kati ya katibu wa vijana wa wilaya na vijana...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa...
16 Reactions
130 Replies
16K Views
Habari zinazosikika ni kwamba NEC itatangaza ratiba ya uchaguzi mdogo Jimbo la Singida Mashariki na kata zilizowazi muda wowote ndani ya wiki hii. Inasemekana kuwa "Inaonekana" tishio la Lissu...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Akagera national park ya Rwanda inavyochukua wanyama wa pori la Burigi, Kimisi ,Rumanyika na Ibanda na kuwafungia kwenye fence- H. Kigwangala umelala Akagera national park ni mbuga...
36 Reactions
142 Replies
17K Views
  • Closed
Kinana, Makamba wajivua uanachama CCM Ansbert Ngurumo8th February 20200 Comments MAKATIBU wakuu wastaafu wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba, wamejivua...
42 Reactions
143 Replies
23K Views
  • Closed
Wakati Membe akitamba kuwa alienda mbele ya kamati ya maadili ya CCM kuwafunda na kuwaelimisha kuhusu mambo mbalimbali, Kinana amegoma kufika mbele ya kamati hiyo. Kwa mujibu wa chanzo cha...
45 Reactions
348 Replies
36K Views
Back
Top Bottom