Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mwaka 1856 sultan sayyid said alikuwa na Mlinzi katili anaitwa Abdalah Juma alikuwa anatesa sana watu kuna siku mbuzi dume kubwa lenye pembe likampiga pembe bwana Abdalah na kumchana sehemu za...
0 Reactions
0 Replies
908 Views
Aisee wakuu hali ni mbaya, Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania...
25 Reactions
171 Replies
18K Views
Nchi ipo katika kipindi cha maandalizi ya mipango na bajeti ya 2020/2021. Utaratibu unataka taasisi za serikali na mawakala kuanza mchakato wa maandalizi wa mipango na bajeti zao mara baada ya...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nipo hapa Kigoma Ujiji na habari ya mjini ni tetesi kwamba Kafulila atagombea ubunge kwenye jimbo la Kigoma mjini. Kwa sasa jimbo hilo linashikiliwa na Zitto Kabwe wa ACT wazalendo. Source mimi...
4 Reactions
35 Replies
7K Views
Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT. Mh Mbowe anatajwa kuwa...
6 Reactions
119 Replies
9K Views
Ukiondoa uzalendo binafsi ambao mtu huzaliwa nao uzalendo mwingine hupatikana kwa njia ya mafunzo yatolewayo katika Jeshi la Kujenga Taifa kwa kifupi JKT. Inasemekana kupitia tetesi kwenye...
5 Reactions
24 Replies
3K Views
Kuna taarifa za ubaguzi wa ajira ndani ya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa wapinzani na hasa watu kutoka kisiwa cha Pemba. Taarifa hizi zinaendelea kuzagaa na kutolewa katikati ya lawama za...
6 Reactions
213 Replies
22K Views
Baada ya Magufuli kumtumbua yule mmama ambaye wakati fulani aliingia kwenye ligi na Bulaya kuhusu kikokotoo aliendelea mbele zaidi na kuivunja ile Ofisi ya yule mmama yaani SSRA na kisha kuamua...
5 Reactions
44 Replies
5K Views
Yale yale ya Kabendera yanajirudia tena , hasa baada ya misheni ya kumteka kushtukiwa na kupigiwa kelele na wadau dunia nzima , sasa anaandaliwa mashitaka ya uzushi ili kumkomoa . Taarifa...
32 Reactions
117 Replies
12K Views
Wananchi wengi wa nchi hii wanatamani nchi yetu iwe na Katiba mpya ambayo itaendana na nyakati hizi, tofauti na Katiba tuliyo nayo hivi sasa ambayo ilitungwa mwaka 1977, ambayo wananchi wengi...
10 Reactions
49 Replies
5K Views
Kwa yanayoendelea huko Mwanza ,CCM lazima itapokea baadhi ya makada watakao hama vyama vyao kujiunga CCM Miongoni mwao ni Mzee Sumaye, hiki kikao lazima kitatangaza kumpokea mzee Sumaye na Lowasa...
1 Reactions
40 Replies
6K Views
HEMED ALLY, MAMLUKI ALIYEPENYA KAMATI KUU. Ni vema kama vijana wa chadema tukajifunza katika historia na tukafanya chaguo lisilo na shaka kabisa. Hemed Ally ni mtu wa karibu zaidi na mzee...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Yanayoendelea kwenye siasa za Tanzania , ni kama mchezo , lakin wajanja walisha jua kuwa msindai na mpendazoe walitumwa kwa kazi maalum Swali gumu najiuliza je lowassa na sumaye urafiki ulianza...
12 Reactions
67 Replies
8K Views
HUJUMA ALIZOFANYIWA HECHE NI AIBU KWA CHAMA KINACHOJIITA CHA DEMOKRASIA: Uchaguzi wa Mwenyekiti Kanda ya Serengeti umetamatika huku Heche akifanyiwa hujuma, rafu na figisu za kila namna...
6 Reactions
78 Replies
9K Views
Magufli aliingia kwa mbwembwe madarakani huku akifuta sherehe za uhuru na kuelekeza hiyo bilioni 2 itumike kujenga barabara Mweng Morroco. M Alitoa maneno ya shobo na dhihaka kwa watangulizi wake...
29 Reactions
61 Replies
9K Views
Chanzo cha kuaminika kimenong'oneza kwamba maudhui ya wimbo huo wa Gwiji John Komba akiwa na bendi ya ccm iliyokufa ya TOT yanaonekana kuwagusa moja kwa moja wanachama wa ccm badala ya wapinzani...
31 Reactions
71 Replies
20K Views
.......
19 Reactions
154 Replies
17K Views
Hizi tetesi juu ya vyama/chama cha siasa kitakachojiondoa Kwenye uchaguzi automatically kitakuwa kimejifuta moja Kwa moja kuwa chama halali cha siasa. Baadhi ya wapambe ambao wanajifanya...
25 Reactions
70 Replies
8K Views
Ghafla kumekuwa na wema kila kona. Siyo mahakamani, siyo majukwaani, Siyo makanisani kwa ujumla hizi wiki tatu ninaziita kisiwa cha amani. Sasa ni wema na kauli za wema na hotuba za ukarimu...
30 Reactions
62 Replies
12K Views
Wazee wetu na nyinyi muachage kujifanya wajuaji. Mark James mwandoysa aliyepata kuwa Waziri wa mda mrefu wa awamu ya tatu na ya nne inasemekana kanyimwa kibali cha kwenda kuonana na Rais toka...
12 Reactions
54 Replies
8K Views
Back
Top Bottom