Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Habari wana JF... Kuna mambo yanaendelea ktk nchi hii ni makubwa na ya ajabu. Yasiposemwa huko mbele hatutaweza kupona kama Taifa. Mnaweza mkachagua kunyamaza ila gharama ya kuja kurekebisha...
24 Reactions
47 Replies
4K Views
SO WHAT IS A COWARDice of JIWE? HERE ARE16 SIGNS OF THE MODERN COWARD 1) He fears honesty He isn’t just dishonest, he fears honesty completely. The Modern Coward knows his true character isn’t...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
UBALOZI umegeuzwa jalala Tanzania? JPM anataka kuachana na Makonda, lakini anaogopa kumtumbua ili siri zao zisivuje. Sasa anatafuta pa kumficha nje. Kikwazo ni lugha na rekodi yake mbaya. Nchi 5...
45 Reactions
196 Replies
27K Views
Mh Rais ulisema jana watu wajilipuwe ila wengi walishindwa maana Uwenda kwa hasira ulio nayo juu ya uzembe na ubadhirifu kikao kingebadilika na unge weza hata taman upeleke mahakaman watu na...
13 Reactions
52 Replies
5K Views
Ndugu zangu, Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi. Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati...
20 Reactions
257 Replies
31K Views
Kuna taarifa za chini ya kapeti kuwa Rais ameshauriwa na inaonekana ameshaurika kuwa aongeze muda wa matumizi ya mifuko ya plastiki kwa miezi sita. Hii "imeonekana" kama kete muhimu kuelekea...
5 Reactions
46 Replies
6K Views
  • Closed
Rais wa Somalia akitokea Africa kusini ametua kwa dharura Tanzania baada ya intelejensia kubaini kuwa angetunguliwa angani katika mpaka wa Somalia na Kenya Karibu sana MO. huku kuna wasomali...
1 Reactions
73 Replies
9K Views
  • Closed
Now Confimed: Tundu Lissu kuwasili nchini tarehe 07.09.2019 baada ya mabadiliko ya ratiba. ------ Shujaa Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kutua nchini siku ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika tarehe...
20 Reactions
157 Replies
15K Views
Wana Jamvi, mabadiliko na uahamisho wa baadhi wa wakuu wa mikoa yamo mbioni. Hii inatokana na kile Paskali anachokiita TREND READING. Kuna shinikizo kubwa la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kutoka...
10 Reactions
99 Replies
11K Views
Mheshimiwa Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA, amesema kapata taarifa kwamba Mdude Chadema kufikishwa kwenye kituo kimoja wapo cha Polisi Jijini Dar jana Usiku. KUNA taarifa TUNAFUATILIA kwa ukaribu...
55 Reactions
237 Replies
26K Views
Basic salary sh.6,000,000 Entertainment allowance sh.1,000,000 House allowance sh.1,250, 000 Car maintenance allowance sh.3,000,000 Gym membership sh.60,000 Vehicle fixed cost allowance...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mengi yamesemwa kuhusu vilio vya wafanyakazi lakini naamini vilio hivi havitakaa yaishe. Tatizo kubwa according to My views, ni SHERIA na TARATIBU mbovu zisizo na haki zinazosimamia utumishi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Zikiwa zimesalia siku tatu kabla ya kufanyika kikao cha Baraza Kuu la Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa. Ambapo imeelezwa kuwa kikao hicho kinatarajiwa kufanyika siku ya Ijumaa tarehe 4/5/2019...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni imani yangu Nape yuko CCM kwa sasa ili tu kulinda ubunge wake na hata mahaba aliyonayo kwa viongozi wa chama chake ni mahaba fake tu ili mradi alinde kibarua chake. Ukimchunguza Nape utagundua...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari kutoka ndani ya Ccm ni wanataka kumpitisha John D Pallangyo kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki. John D Pallangyo aligombea mwaka 2015 lakini alishindwa kufurukuta mbele ya kijana mdogo...
4 Reactions
29 Replies
8K Views
Nimeona hili kuhusu China Kujenga makao makuu ya Jeshi jijini Dodoma, ni kweli? Naelewa kuwa tuna ushirikano na China kwa muda mrefu na hata kusaidiana katika nyanja mbalimbali lakini kwa hili...
3 Reactions
64 Replies
8K Views
Ndugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote. Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu...
28 Reactions
110 Replies
17K Views
Mniwie radhi ya kwamba sitawatafunia kila kitu. Lengo ni kuhakikisha anamiminiwa sifa kutoka kila pembe ya nchi. Bunge litaombwa kuipokea na kuijadili report ya Mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za...
35 Reactions
97 Replies
12K Views
Kutokana na ripoti ya CAG kuzilaumu ofisi za kibalozi za Tanzania nchini Brazil na Comoro kwa matumizi ya hovyo ya fedha za umma kwa kukodi magari, huenda mabalozi husika wakaitwa kuhojiwa na...
7 Reactions
73 Replies
9K Views
Kwa taarifa za uhakika (ambaye hataki kuamini anaruhusiwa), azimio la Dom yalikuwa ni maagizo Kutoka Juu. Mara ya kwanza, mimi sikuwa miongoni mwa waliokuwa wakilirhania hilo. Aliyeagiza...
89 Reactions
183 Replies
20K Views
Back
Top Bottom