Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kuna mkakati unafanywa ukiwahusisha viongozi wa CCM kumshawishi Rais aruhusu bunge live, sababu wanazojenga ni kuwa wananchi hawawaoni wala kuwasikia wawakilishi wao wanapo elezea mazuri...
15 Reactions
48 Replies
5K Views
Wasalaam, baada ya takribani miezi3 tangu serikali ikusanye korosho za wakulima kwa nia ya kuzinunua hatimae serikali hiyo imewarudishia wakulima korosho hizo kwa madai hazina ubora. Kutokana na...
36 Reactions
79 Replies
11K Views
Hizi ni habari nilizopenyezewa na mtu wa jikoni kwamba Msaliti Lipumba kishaangukia pua Mahakamani , tusubiri tu hiyo Jan 15 ambayo imetajwa kusomwa hukumu ya kesi yake. Niliwahi kumtahadharisha...
24 Reactions
77 Replies
16K Views
Anaandika Ansbert Ngurumo: UTAWALA wa Rais John Magufuliumeendelea kujizolea kashfa ya kutumia “silaha ya uraia” katika kukomoa raia, kuzima sauti za wananchi na kulipiza visasi. Zamu hii...
51 Reactions
223 Replies
41K Views
Kwa mjibu wa vyanzo vyangu binafsi vinanimbia wabunge wa upinzani hawatarudi bungeni mwakani na baadhi wanaompinga bwana yule. List ni ndefu. Na hawa wawili walioko Mahabusu ndo washa wekewa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu zangu, Kwanini Chadema hawaelezi matokeo ya mkutano baina ya Tundu Lissu na Daniele Viotti? uchunguzi wetu umebaini mkutano huo wa siri umefanyika alfajiri ya leo tarehe 29 Januari, 2019...
14 Reactions
82 Replies
16K Views
Kwenu jukwaani. Hivi karibuni kila halmashauri humu nchini imekuwa ikibuni vyanzo vya mapato. Baadhi zimeenda mbali kwa kupendekeza tozo ya Tsh 50,000 kwa kibali cha sherehe kama harusi...
3 Reactions
42 Replies
10K Views
Kama umewahi sikia bajeti ya usalama wa taifa au jeshi linanunua vifaru vingapi basi rudi hapa kunionyesha pesa imepotea. Walahi naarisha mpaka UK. Wajinga ndio waliwao.. Pesa zipo salama...
7 Reactions
32 Replies
4K Views
Hapa Iringa kuna harakati zinaendeshwa na kundi la baadhi ya wana CCM kuwashawishi waalimu kujiorodhesha na kuingizwa kwenye Kanzi Data (Data Base) ya chama hicho kwa ahadi kwamba kipekee maslahi...
15 Reactions
115 Replies
16K Views
Najaribu kuunganisha DOT kinachoendelea huko Ughaibuni watu wakisaka kuungwa mkono ili wasaidiwe 2020 ata kwa kushirikiana na mashetani walisema wenyewe kuwa watafanya hivyo alimradi waende Ikulu...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Ni jambo lisiloeleweka kwanini Bunge kupitia kamati husika linashindwa kuichunguza na kuikagua NSSF ambayo kwa sasa ni mahututi. Kwa muda wa miaka miwili sasa NSSF imekuwa ikishindwa kuwalipa kwa...
8 Reactions
41 Replies
6K Views
Habari zilizonifikia Kuna mlipuko Tena wa kigaidi nchini Kenya na mpaka Sasa mtu mmoja kafariki. Eneo linajulikana Kama Kwa stage tom mboya juction More to come
2 Reactions
10 Replies
3K Views
  • Closed
Ndugu zangu, kurunzi letu limenasa habari za mkutano wa siri unapangwa kuwakutanisha Ndugu Tundu Lissu na Danielle Viotti. Danielle Viotti ni rais mwenza wa taasisi ya wabunge katika bunge la...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu taifa hili lina mafumbo mazito sana kiasi mimi natetemeka hata kuandika hii habari. Hivi kweli mahojiano ya CAG Kule majuu na vile mkuu wa lile jumba dodoma alivyo pokea yanafanana...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Leo kwenye you tube naona masha anasema kampuni yake ya new forests nikashangaa na kusema mmbona kila kampuni inayopigwa jiwe masha anasema yangu hiyo asije kuwa anajiokotea tu kama wale mwaka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Shikamo Mh Rais nafurahi sana unavyo waonyesha upo a head of them but silence i wish uwaonyeshe zaidi but more silence.. Walianza mjengoni ukawa kimya. Walipo ona husemi kitu wakaenda mbali...
8 Reactions
76 Replies
12K Views
Wizara ya nishati na Tanesco Je mnajua kuwa waliojihusisha na ujenzi kutoka makambako mpaka songea hawajalipwa na hiyo kampuni ya KALPATARU YA INDIA? Na wanaowadhurumu ni watanzania wazawa...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Wanabodi, nimeinyaka hii asubuhi ya leo toka kwa mjumbe wa mjengoni lakini yeye sio member wa kamati hii. Ni kuwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati hii ya Maadili hawataki kuwa historia ya kutenda uovu...
14 Reactions
72 Replies
12K Views
Wasalaam, Kuna taarifa zimevuja kwamba vyama vya upinzani nchini(ukawa) vimezamiria kutoshiriki chaguzi zote zitazoitishwa na tume ya uchaguzi (NEC) kwa madai kwamba hii tume ni mali ya Ccm na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimesikia tetesi hizi nikiwa job lkn nimetafuta habari hizi sijaona popote mwenye taarifa zaidi plz Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom