Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Taarifa zilizopatikana kutoka kwa mmoja wa wadau wa ngazi za juu katika Chama Cha Demokrasia na Maendeleo zimeeleza kwamba chama hicho (CHADEMA) kiko katika mpango wa kumtumia Mh. Lazaro Nyalandu...
5 Reactions
74 Replies
11K Views
Kuna taarifa ya kuwa CCM imemkatalia mbunge wa jimbo moja la Dar es Salaam kujiunga na chama hicho baada ya muda kupita.Barua ya kutaka kujiunga ilimfikia Polepole jana lkn majibu alitakiwa...
2 Reactions
89 Replies
13K Views
Kidumu chama cha mapinduzi Habari za kuja ndege zetu mpya zimesikika wiki za karibuni. Ndege za hali ya juu kuirudisha ATCL yetu Kama ilivyo kawaida ya upinzani usio na hoja za kujenga Tanzania...
10 Reactions
71 Replies
7K Views
Wanabodi, Kuna 'tetesi' kuwa, baada ya mahamaka leo kumrejesha rumande Freeman Mbowe, tayari kuwa mikakati imeanza kufanywa kutafuta mrithi wa Mbowe, ambaye kwa kiwango kikubwa amelenga...
3 Reactions
36 Replies
7K Views
Taarifa za kiintelijensia (siyo ya polisi) zilizinifikia usiku huu ni kwamba Mkuu wa wilaya ya Tarime Glorious Luoga ameandaa kikundi cha wanaccm toka Tarime Mjini wanaojulikana kwa jina la...
4 Reactions
28 Replies
5K Views
Nimecheka mpaka nikalia eti Bashe alikuwa Ana andika vyombo vya ulinzi vichunguzwe hasa Tiss kwa mnyetishaji alie nipa hili drip anasema watu walikuwa wanamuona tangu anapanga wazo na mpaka...
5 Reactions
34 Replies
5K Views
Taarifa zinaeleza kuwa Awamu ya pili ya kuruhusu waliokwenye nyadhifa mbalimbali kuviacha vyama vyao itaanza hivi karibuni ambapo kwa wale watakaoingia katika ngwe hii ni wale wenye sifa za...
5 Reactions
34 Replies
4K Views
Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani. Yetu macho!
7 Reactions
162 Replies
23K Views
Msimu wa kutumbua tumbua katika utawala wa mtukufu hautakoma kamwe. Kila baada ya muda kuna kigogo ndani ya utawala anatumbuliwa. Ndio mtindo wake, hivyo tunapaswa kuuelewa na kuuzoea tu...
28 Reactions
112 Replies
14K Views
HAWA NDIO MAJASUSI WA CPJ WALIOSHTUKIWA NCHINI TANZANIA...
1 Reactions
35 Replies
7K Views
Uzembe usioendana na kasi ya JPM wa Taassisi ya Elimu Tanzania (TET) unaelekea kumponza Waziri Wa Elimu Prof. Joyce Ndalichako. TET ambayo iko chini ya Wiazara yake imekuwa mzigo na ni sikio la...
4 Reactions
105 Replies
13K Views
Habari ambazo zimetrend jioni hii, ni kuhusu tetesi za kuhamia ccm kwa mbunge wa Arumeru Mashariki, ndugu Joshua Nassari. Kwa mujibu wa chanzo changu cha habari, ndani ya masaa 72 yajayo usajili...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Mambo kama haya najua hupigwa chini haraka sana hapa JF maana pia tunafanya biashara...lkn wacha nifikishe tu ujumbe maana mjumbe hauawi...mambo mengine yanayoendela chinichini yanaogofya mno...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Wasalaam wana jamvi. Wanachama mashuhuri ndani ya chadema Nyalandu na Lowasa wameandaa mapendekezo kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chama ndani ya chadema. Mapendekezo hayo yanayo lenga kupendekeza...
7 Reactions
87 Replies
10K Views
Waziri mkuu amenukuliwa na vyombo vya habari akifanya jambo hilo mkoani Dodoma . Kama kipyenga kimekwisha pulizwa basi ni vema Tume ya uchaguzi ikatangaza hadharani ili wale wengine...
20 Reactions
120 Replies
21K Views
Jamaa baada ya kuona cdm kupitia sugu na jay wameongeza idadi ya waleta ruzuku chamani na wao wapo sasa kwenye mazungumzo na wafuatao Roma-Tanga Stamina - Morogoro Mc pilipili- Chamwino Fid q -...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu wana jf kwasasa duniani madikteta yanatoweka ila Kuna yanayozaliwa upya hususan afrika sasa kama unajiona hauko salama kutoa maoni na mawazo yako huko wasap njoo tuyamwage humu na pia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wasalaam, tetesi zilifika hivi punde kutoka ufipa zinasema kwamba CHADEMA wameamua kuwaunga mkono CUF ili jimbo lirudi UKAWA japo haijawekwa wazi wataiunga mkono CUF ya maalim Sefu au ya Lipumba...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Kama una vitu vifuatavyo Tanzania, Jela inakuita muda wowote ! - Unamiliki Akaunti ya Social media yoyote. - Una laini ya simu - Unaongea ( Siyo bubu ) - Unazungumzia HAKI na UKANDAMIZAJI -...
14 Reactions
43 Replies
6K Views
NIMEAMINI MHE. MBOWE SASA AMEKWAMA. 21 Sept. Nimesikitishwa sana kumuona kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Freeman Mbowe akilalama kuiponda serikali na kuilaumu kufuatia ajali ya MV Nyerere...
9 Reactions
51 Replies
5K Views
Back
Top Bottom