Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Aisee mambo yamepamba moto. Ni hivi, vitisho mfulululizo vimekuwa vingi lakini mpaka sasa havijafua dafu. Heko CAG Prof. Assad kasimamia taaluma na kiapo cha katiba na msahafu. Vyanzo vya...
32 Reactions
81 Replies
10K Views
Huu mtego wamemuwekea mh Rais ataupita mchana kweupe akijuwa msala wa yeye kujiingiza sakata hili. Team maalumu ya wataalamu ilisha muwekea mezan mbivu na mbichi ya swala hili. Mbaya zaid mtu...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Baraza kuu la CHADEMA linatarajia kufanya kikao kizito cha kumjadili na Kuamua hatima ya Mbunge mwenye akili zaidi ndani ya chama hicho unaweza kumuita (Joshua Nassari). Taangu alivyotoka Kuongeza...
9 Reactions
127 Replies
17K Views
Magufuli Ana Hofu Kubwa Kuwa Kuungana kwa Zitto Na Maalim Seif Kwaweza Kumng'oa 2020 Majasusi hutegemea sana hisia ya sita ((6th sense) katika kufanya baadhi ya maamuzi yao. Na hisia ya sita...
4 Reactions
53 Replies
9K Views
Yasemekana kua kazi hii imeanza kufanyika kitambo kidogo, ilisimamanmiwa na Naibu Waziri mmoja kijana kabisa ambaye awali aliwahi kukitumikia CHADEMA katika ngazi ya juu kabisa kwenye taasisi ya...
19 Reactions
77 Replies
11K Views
Brela,Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara ni moja ya taasisi kongwe inayopaswa kuliingizia taifa fedha nyingi kupitia tozo na malipo mbalimbali yahusuyo usajiri wa...
5 Reactions
34 Replies
5K Views
CAG report ya mwaka huu ni pasua kichwa kuna ufisadi wa kutisha wa pesa za umma.. Upotevu wa 2.4 trion ongezeko karibu mara mbali ya pesa ambayo haikuonekana mwaka Jana.... Najua wakurugenzi wa...
32 Reactions
60 Replies
9K Views
Inasemekana jeshi la Polisi lilishaelekezwa kumlinda Lipumba pamoja na wajumbe wake kwa udi na uvumba , jeshi la polisi lilitakiwa kuhakikisha " MKUTANO MKUU " Unafanyika ili kumvua ukatibu mkuu...
8 Reactions
67 Replies
11K Views
Ndugu zangu, Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema. Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi...
6 Reactions
76 Replies
17K Views
Kuna tetesi kuwa Mbowe hatagombea tena uenyekiti chadema na badala yake anaandaliwa kuwa Katibu Mkuu na nafasi ya Mwenyekiti anapendekezwa mzee Lowasa kama kura zitatosha. Ktk kutimiza miaka 25...
2 Reactions
63 Replies
8K Views
  • Closed
Bado hujamaliza utata, kavamiwa na nani?? Kisa nini/ wavamizi wanataka nini??
0 Reactions
183 Replies
54K Views
Mh Rais pole kwa yote yanaendelea kuhusu bwana yule kule ughaibuni. Ila sasa ukweli tumeujuwa adui yumo ndani ya serikali yako na bwana lisu ameshajisemea mwenyewe. Either walimpa tango pori au...
3 Reactions
70 Replies
9K Views
Nyeti hii imepenyezwa kutoka UDOM. Wanafunzi Wanaosoma education wameambiwa wajitolee kufundisha bila malipo kwa muda wote wa likizo Hii fupi itakayoanza rasmi mwezi March. Wameahidiwa kupewa...
7 Reactions
61 Replies
12K Views
Ni swali najiuliza kwa sauti, je, kuwekwa rumande kwa Mh Mbowe, M/Kiti wa CHADEMA, ni kiashiriyo cha anguko la CHADEMA? Kwa mfano hakuna dalili za uhai wa Sera zilizonduliwa kwa mbwembwe kuwa...
4 Reactions
43 Replies
5K Views
Kwanza nianze na pongezi kwa serikali ya jamhuri kwa kuchukua hatua katika kutekeleza mipango endelevu ya kiuchumi. Pia nimpe kongole alietamka kwa ukakamavu kua miradi hii ya Reli ya kati...
0 Reactions
2 Replies
946 Views
Wadau, amani iwe kwenu, Ni dhahiri kwamba Lowassa na Sumaye hawana amani ndani ya CHADEMA. Hawana dira wala mwelekeo. Kila wanalopanga halipangiki na CHADEMA hakionekani kuwa chama chenye...
24 Reactions
153 Replies
28K Views
Mjumbe wa Kamati ya Itikadi na Uenezi Mkoa wa Dar es Salaam, Frey Edward Cosseny, amewarusha tena roho juu wafuasi wa Vyama vya Upinzani baada ya kudai kuwa, kuna Wabunge wengine sita wanafuata...
3 Reactions
97 Replies
15K Views
Nikiwa ndiyo nakimalizia kukisikilizia kipindi cha morning magic, nimesikia wakitangaza kwa ufupi mnoo kuwa Kinana ameandika barua ya kujiuzulu. Mwenye taarifa zaidi.... Kipi kilichopelekea mpk...
4 Reactions
121 Replies
26K Views
Hii ni taarifa iliyovujishwa na baadhi ya wazalendo waliochoshwa na uonevu wa kishamba , kwamba viongozi hao wa Upinzani wakamatwe ili kuwatisha na kuwavunja moyo , wanyimwe dhamana angalau kwa...
18 Reactions
100 Replies
10K Views
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba...
8 Reactions
205 Replies
25K Views
Back
Top Bottom