Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ripoti ya siri ya mwenendo wa CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 imevuja na aliyeivujisha hajajulikana bado. Inadaiwa kuwa mwaka 2016 Rais Magufuli aliamuru kufanyika kwa uchunguzi ndani ya...
31 Reactions
93 Replies
15K Views
###BREAKNEWS:CCM SIRI IMEFICHUKA. TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA NA MIPANGO MIOVU NDANI YA CCM CCM inatumia bilioni 12.8 katika MIPANGO mkakati katika vikundi vitatu ambavyo ni UJASUSI WA KUSINI NA...
22 Reactions
62 Replies
6K Views
  • Closed
Kuwa mpinzani ni sawa na kuvaa nguo nyeupe , DOA likigusa tuuuu ni balaaa .Ni kweli wakuu fedha zimepigwa, zaidi ya 1.9 Bilioni. Wakuu ni hivi jumla ya Tsh 1.9 Bilioni, Zimekwapuliwa kwenye...
25 Reactions
222 Replies
23K Views
Muda wowote kuanzia sasa mtetezi wa Acacia na Mabeberu kufunguliwa kesi ya kumdhalilisha na kumzushia uongo RAIS. JPM Tunategemea huyu mtu asakwe popote alipo kuja kujibu mashitaka yake athibishe...
5 Reactions
58 Replies
6K Views
Hadi muda huu nakaribia miaka 60 sijui maana au sababu hasa ya kukimbiza mwenge. Jf ya wabobezi nisaidieni mwenge una tofauti gani na KIBATARI kikubwa?
0 Reactions
62 Replies
6K Views
Kumbe UVCCM imevunjwa 2months ago na Meko mlitaka kumpindua Heri! Ndo maana kumetulia sana humu maana mmefukuzwa Lumumba. Ndugu yangu Simalenga naona umetimuliwa Lumumba ndiyo maana sikuoni hapa...
13 Reactions
103 Replies
15K Views
"Mheshimiwa John Heche na Wana Tarime jihadharini. Wale vijana watesi waliokuwa wametumwa Mwanza kuwateka vijana wetu wawili wakawakosa, Saa Saba usiku wa kuamkia leo wameelekea Tarime". "Ni...
15 Reactions
151 Replies
14K Views
Kuna taarifa za ndani kabisa kwamba Ndugu yule pumuzi imekata na anataka suluhu ya kuomba msamaha kwa yote. Inasemekana mapema jana alimtumia Mustaafu mmoja akimwomba amwezeshe kukutana na Mkuu...
15 Reactions
64 Replies
11K Views
  • Closed
Habari za ndani kabisa zinatabanaisha kwamba jamaa kapigwa chini na kagomea matokeo! Imeelezwa yule mfupi wa Karagwe kagomea matokeo na kambi yake inalazimisha uchaguzi urudiwe na kambi nyingine...
4 Reactions
69 Replies
7K Views
Habari JF siasa. Ukishangaa ya Musa utayaona ya Farao/ Firauni. Sheria mpya ya uchaguzi itawasilishwa bungeni mapema November 2019 au February 2020. Lengo la sheria hii ni kuwabana wagombea urais...
27 Reactions
248 Replies
23K Views
Mwenyekiti wa NLD, Dk Makaidi alisema zipo dalili na ushahidi kuwa uchaguzi ukifanyika mwaka huu CCM itang'olewa madarakani na kwa kulijua hilo, Serikali inafanya kila njia ili kuahirisha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tunapoelekea Uchaguzi wa Urais na Ubunge mwakani jimbo la Segerea kumekucha, vikao vimeanza na Mbunge wa Jimbo hilo Bonnah Kamoli ana wakati mgumu sana. Baadhi ya watu wanaofanya vikao sasa...
3 Reactions
63 Replies
12K Views
Katika kile kinachoonekaonekana Vita ya wasaliti ndani ya chama kupamba Moto tayari baadhi ya mabaloz wameonekana kuhusika mojamoja na mgawanyiko ndani ya chama na hivyo hivi karibuni watarejeshwa...
17 Reactions
104 Replies
18K Views
Ukawa nawaomba msije MKAJIROGA mkachukua hizi sampuli zinazo tumbuliwa na kughafilishwa huko CCM afu eti baadae zikija kwenu ndo muwasimamishe kugombea KAMA MLIVYOFANYA 2015.
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wadau. Vita vya urais 2025 kama sio 2020 vimeanza kupamba moto. Inadaiwa RC fulani anaandaliwa kuwa Rais japo wengi wataona ni kichekesho. January Makamba hivi sasa anaonekana ni tishio...
47 Reactions
223 Replies
27K Views
makonda msiba kibajaji msukuma Nashangaa sana daktari mzima unashauriwa na kuwa beneti na watu wa aina hii!?? Tatizo ni nini!?
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wiki iliyopita CCM makao makuu ilifanya mabadiliko ya Katibu wa CCM wilaya Mbinga, kwa kumuhamisha aliyekuwa Katibu (W) Bi. Zainabu Chinoa na kumleta Bi.Domino Soko. Taarifa za uchunguzi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tukemkuwa tukizoea nchi ya Tanzania kuitwa nchi ya less developing country kwa muda mrefu huku ikiwa na wasomi wanaojua kufanya research za kisiasa uzoefu pamoja na explore.. Ni muda wa...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Nikwamba chadema imeuliwa na wanachadema wenyew [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kilicho baki nichuki tu Roho nyeusi tu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Inasemekana Prof. Kitila Mkumbo wana Iramba wanamsubiri kwa hamu kubwa sana. Mbunge anayemaliza muda wake anahaha kujinusuru. Let us wait and see.
2 Reactions
57 Replies
5K Views
Back
Top Bottom