Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Habari zilizonifikia ni kuwa polisi wamezingira Hotel ya Key's ambapo mahafali ya Chaso yanafanyika UPDATES: Polisi wamevamia Ukumbi wa hotel ya Keys Moshi na kutawanya wanafunzi wa CHASO...
4 Reactions
210 Replies
19K Views
Kufuatia kujiuzulu Kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara A. Kinana Wachambuzi wa siasa wanampa asilimia kubwa Mzee Luteni (Mstaafu) Alhaji Dr Yusuf Makamba kupokea kijiti cha uongozi CCM. -...
8 Reactions
118 Replies
7K Views
Tetesi zinatabanaisha, baada ya kukaa Zanzibar nyumbani kwao kwa muda mrefu Samia anatarajiwa kufanya ziara kwenye Nchi tajwa hapo juu. Wenye wenu wivu mjinyonge.
1 Reactions
3 Replies
280 Views
Habari wakuu!? Kwa wale wanaowafahamu wazungu hasa shirika la BBC, hawa jamaa huwa wakipata taarifa ndogo huwa wanakaaa ofisini kwa wiki kadhaa au hata mwezi ama miezi kufanya uchunguzi kisha...
26 Reactions
114 Replies
5K Views
"...unadhani Lissu ameingia kichwa kichwa kugombea! Jamaa walijipanga muda sana baada ya kutoridhishwa na mambo yasiyo ya upinzani wa KWELI wa Mbowe. La mno hasa ni baada ya kila dalili kuonyesha...
17 Reactions
78 Replies
2K Views
Wakati mwafaka wa kufanya uchaguzi wa ndani wa Chadema utategemea mambo kadhaa, lakini kwa kuzingatia muktadha wa kisiasa na uchaguzi mkuu wa 2025, ni bora uchaguzi wa ndani ufanyike baada ya...
-1 Reactions
16 Replies
728 Views
Wengi wataona Mbele ya Pazia kama Mwandishi Kabendera anaonewa, ila kiukweli yaliyojificha ama mambo yanayofanywa na kabendera nyuma ya pazia Sio ya kiungwana, na yanapaswa kulaaniwa na kila...
92 Reactions
425 Replies
37K Views
Hii ndio Taarifa mpya kwa sasa , Pimeni wenyewe. Flyings Medical Service wanafanya shughuli za utabibu kwa njia ya anga maeneo ya mkoa wa Arusha na Manyara tangu nwaka 1983. Mamlaka ya Usafiri...
18 Reactions
103 Replies
9K Views
Mshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto. Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi. Hii...
3 Reactions
91 Replies
2K Views
Huyu anaenda kuvunja record Hakuna wala hatokuwepo. Big up
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Nilimtembelea rafiki yangu mmoja ambaye ni mhadhiri pale Udsm na katikati ya maongezi likaja suala la uwezekano wa mtu kupata PhD bila kupitia taratibu sahihi. Hapo akasema kuna uchunguzi...
10 Reactions
137 Replies
8K Views
Hizo ndizo habari toka mezani kwa Team Mbowe ya kwamba mtu wao huyo hatoshiriki mdahalo huo. Chama cha watu wanaokwepa midahalo kinajulikana Je, ndugu yetu pia kasajiliwa kimya kimya? Happy...
6 Reactions
39 Replies
1K Views
Anaandika kiongozi mwandamizi Mkoa wa Shinyanga. "Habari za Usikuu wajumbe wa Mkoa wa Shinyanga na Kahama Ugeni wetu umeingia tayari Ukiongozwa na Kaka yetu Sauti na Dada yetu Gimbi Massaba...
31 Reactions
135 Replies
4K Views
Ni mkesha kabambe wa mwaka Mpya ambapo viongozi mbalimbali wa Serikali na Vyama vya Siasa watahudhuria Mkesha wa " Vuka na Chako" utafanyika tarehe 31/12/2024 RC Chalamila yeye ni kama mwenyeji...
5 Reactions
26 Replies
932 Views
Swali, Je, huenda Freeman Mbowe akajitoa ili kulinda heshima kidogo aliyonayo au yuko tayari kubeba aibu kwa gharama ya chawa wake|| Taarifa za chinichini ni kwamba, Mtia nia wa nafasi ya...
18 Reactions
75 Replies
4K Views
Mambo yanazidi kupamba moto, wabunge 19 wa CHADEMA nao wameamua kuungana na gwiji la siasa za upinzani Tanzania mh. Freeman Mbowe, huu ni ushindi mkubwa kwenye kambi ya Mh. Mbowe kutokana na...
2 Reactions
51 Replies
2K Views
Kwa ufupi sana, 1. Huyu Kigaila anayesema Lissu ni CCM mke wake yuko Bungeni tena bila ya baraka za Chama hii kwa akili ya kawaida kabisa inawezekana kweli Kunti hakutumwa na mumewe? 2. Hata...
13 Reactions
53 Replies
3K Views
Za ndani kuna mkakati unaandaliwa chadema kubebeshwa tuhuma za utekwaji na mauaji ya Mzee Wetu Ally Mohammed Kibao na viongozi wa CHADEMA watakamatwa na CHADEMA itafutiwa Usajili sababu kuna wana...
0 Reactions
8 Replies
338 Views
Wakili msomi maarufu Nchini Tanzania na ambaye mara zote hujizolea sifa kemkem kwa uhodari wake asimamiapo kesi za Wana-CHADEMA na hususani Viongozi wake inaelezwa ame-wataarifu watu wa karibu...
8 Reactions
34 Replies
2K Views
Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo ambayo yalitokea enzi za utawala wa awamu ya tano na hakuna aliyethubutu kuanzisha uchunguzi juu ya hilo kutokana na maelekezo maalum. Sasa nawataarifu...
57 Reactions
298 Replies
22K Views
Back
Top Bottom