Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Serikali imeidhinisha matengenezo ya barabara za Mkoa wa Mara kwa jumla ya shilingi Bilioni 42.166 kwa mwaka wa fedha 2024-2025. Kauli hii imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi...
1 Reactions
2 Replies
75 Views
Marekani ndio nchi iliyoanzisha democrasia katika mfumo wa vyama vingi. Marekani kupitia IMF , WORLD BANK, wameineza sera ya democrasia, katika nchi masikini kuanzia miaka ya 1980s. Nguvu ya uma...
6 Reactions
56 Replies
890 Views
Ni kwasababu hawana mipango na sera zinazogusa mahitaji muhimu ya kila siku ya wanainchi? Ni kwasababu ya ubinafsi, uchu na tamaa za vyeo na madaraka walionao, kiasi kwamba hawana muda wala haja...
0 Reactions
11 Replies
207 Views
Taifa lina utani sana hili yani watu wenye matatizo wananmchangia mtu mwenye pesa akaendelee kuzichota pesa. Na hawa wamefanya hivi kwa sababu hiyo maboboda yenyewe wamepewa na Tulia huyo huyo...
1 Reactions
19 Replies
398 Views
Taarifa rasmi zinaonyesha kuwa Mzee Reginald Abraham Mengi(77yrs) amefariki dunia. Mengi amefikwa na umauti akiwa huko Dubai (UAE) alikokuwa kwa matibabu. Mzee Mengi alizaliwa mwaka 1942 mkoani...
85 Reactions
864 Replies
170K Views
Paul Makonda ni kama anaendelea kujitengenezea jina huko Arusha kwa ajili ya ubunge. === Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda, akimshika mkono kijana mjasiriamali anayeuza nyanya mitaani, ishara ya...
4 Reactions
4 Replies
228 Views
Katika kuendelea kuwafanya Watanzania ni wajinga na watu wasiojua chochote, nimewasikia Makamu Mwenyekiti wa CCM Stephen Wassira na Mwenezi wao Amos Makalla wakidai kuwa, yalishafanyika...
10 Reactions
27 Replies
637 Views
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameeleza kuwa baadhi ya viongozi serikalini wamekuwa wakitumia mizengwe dhidi ya watu wanaoibua ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma. Akizungumza katika...
9 Reactions
32 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa takwimu za NBS, watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi karibu asilimia 65 wameajiriwa kwenye mnyororo wa thamani wa kilimo. Nchi hii imekuwa na baraka sana ya kupata neema ya hali...
7 Reactions
11 Replies
450 Views
  • Redirect
Umoja wa madereva wa bodaboda wa Mbeya Mjini umemtaka Mbunge wa Jimbo hilo, Dkt. Tulia Ackson, kurejea kugombea tena Ubunge wa Jimbo hilo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 ili aendelee na kazi...
0 Reactions
Replies
Views
HIi imenishangaza yaani akili yangu imegoma kuelewa. Yaani, mtu alikuwa anaelekea kujiandiandikisha kupiga kura, huko barabarani msafara wake umesababisha watu na magari kusimamishwa ili kuruhusu...
55 Reactions
222 Replies
6K Views
Mwanasiasa mkongwe na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Wilbrod Slaa, ametoa ufafanuzi kuhusu kauli ya No Reform, No Election, akisema kuwa si msimamo...
8 Reactions
9 Replies
553 Views
  • Redirect
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Mwedia, Dar es Salaam. Akizungumza katika mkutano wa viongozi wa chama na jumuiya ngazi ya shina, tawi, kata na wilaya katika Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es salaam...
0 Reactions
Replies
Views
Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen Masele amesema kusimamia misingi ya haki za binadamu asitafsiriwe kuwa ni mtovu wa nidhamu. Alisema hayo jana baada ya kutoka katika mahojiano na Kamati...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Hayati Magufuli akiwa kwenye Kampeni Shinyanga aliahidi kumpatia huyu jamaa nafasi kwa kumshawishi amuunge mkono Katambi ambaye kama isingekuwa vile sidhani kama angekuwa hapo alipo sasa. Je...
9 Reactions
48 Replies
6K Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
Mwakyembe illness common in TZ: doctors By Polycarp Machira The Citizen Reporter Dar es Salaam. The disease that deputy minister for Works Dr Harrison Mwakyembe has been...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi siyo nyingi nazo zimejaa shida na mateso inasema Biblia Matendo na maneno yenye kuwapendeza binadamu wenzako hukumbukwa milele. John Pombe...
7 Reactions
112 Replies
6K Views
Haya mambo yanafikirisha sana asee. Why vijana wanqtendewa hivi? Sasa ni muda wa serikali kujitafakari. Katika fukuto la ukosefu wa ajira Kuna mtu anakuja kusema vijana wasifikirie ajira za...
1 Reactions
5 Replies
166 Views
.Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki. Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la...
13 Reactions
120 Replies
3K Views
Back
Top Bottom