Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema Wabunge na Madiwani wa CCM kutoenguliwa ni suala la kutii Sheria na kufuata Sheria. Amesema, "Uchaguzi katika nchi zote unasimamiwa na Sheria na...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Leo Dkt Magufuli alimtafuta waziri Jaffo kwenye simu lakini hakupatikana na kuamua kumtafuta katibu mkuu na mazungumzo yao yalikuwa hivi. MAGUFULI: Katibu mkuu hujambo? NYAMHANGA: Sijambo...
12 Reactions
111 Replies
10K Views
Na, Sam Ruhuza, Leo Mawakala wa vyama vya siasa kwenye uchaguzi Mkuu 28/10/2020 wanatakiwa kuapishwa. Sheria inasema wazi wataapishwa na msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo ambaye ni Mkurugenzi wa...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA TOKA UGANDA MPAKA TANZANIA Rais Yoweri Museveni na Raisi JPM wamezindua ujenzi wa bomba la mafuta la Afrika Mashariki kutoka wilaya ya Hoima, nchini Uganda hadi bandari...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Ni Rais Dkt John Magufuli pekee mwenye uwezo wa kudhibiti haya. 1.Kuondoa wavivu na wasiopenda kufanya kazi 2. Kuondoa mafisadi 3.Kuondoa wala rushwa 4. Kuondoa watakatishaji wa fedha za miradi...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Muda unayoyoma wiki ya lala salama ndiyo hiyo tunaianza. Kwa hakika hatima yetu kama taifa ni dhahiri kabisa kuwa ipo mikononi mwa tume zetu za uchaguzi yaani NEC na ZEC. Maamuzi sahihi ya NEC...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
DKT. MAGUFULI AMSIFIA UTENDAJI WA ANNA MGHWIRA Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM ambaye pia ni Rais wa Tanzania amesifu utendaji wa Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Anna...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesema soko la Mabibo, Maarufu kama Mahakama ya Ndizi litakuwa chini ya wananchi. Ameyasema hayo alipokuwa katika mkutano wa kampeni...
0 Reactions
53 Replies
7K Views
Huu ni mkutano wa kampeni wa mgombea wa CCM kwa nafasi ya ubunge Mbeya Vijijini ndugu Oran njeza. Huyu mzee mikutano yake huwa haina watu kabisa na kuna baadhi ya sehemu ameshaambulia zomea zomea...
15 Reactions
55 Replies
5K Views
Amani iwe nanyi wadau! Kwa wapenda mabadiliko wenzangu napenda kuwasalimu kwa furaha sana. Furaha Hii ni kwa sababu Kuu kuwa ile siku yetu muhimu i karibu sana. Tumebakiza siku Saba watanzania...
65 Reactions
142 Replies
9K Views
Kiukweli baba askofu Dkt. Rashid Josephat Gwajima anastahili kuchaguliwa na kutuongoza wana Kawe. Kama alivyosema Dkt. Kikwete kwamba CCM ni chama cha Dini zote, Makabila yote, Taaluma zote na...
15 Reactions
98 Replies
9K Views
Kuelekea Mwisho Mwa Kampeni za Uchaguzi Mkuu Hapa Tanzania Kumekua na Matukio mbalimbali ya Wagombea Urais ,Ubunge , Udiwani huku kila mmoja akitamba Kuchukua Dola Huku Chama Kikongwe CCM...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimetoka kusikiliza mahojiano ya mgombea urais wa JMT kupitia tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo muda mfupi uliopita kwenye kituo cha DW. Mtangazaji katupa maswali ambayo nilikuwa nikitamani sana...
3 Reactions
48 Replies
5K Views
Habari wana jf, maalim seif ameongea na waandishi wa habari na kuzungumzia suala la Membe huku akimtolea maneno makali sana. Nimeshindwa kushangaa, leo hii maalim seif unasema Membe katumwa...
11 Reactions
128 Replies
13K Views
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema haina taarifa wala haijapokea maelezo rasmi ya kuwapo mgombea wa urais wa Muungano, aliyejitoa kushiriki uchaguzi mkuu wiki ijayo. Akizungumza na wadau...
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM, Askofu Josephat Gwajima amesema ana jina la kiislamu ambalo ni Rashidi Gwajima. Amesema alipata jina hilo baada ya kutelekezwa kwenye msikiti...
17 Reactions
272 Replies
25K Views
Mauaji yametokea Njombe kijana Mlelwa kauawa Chadema hawajalaani au kutolea kauli kuwataka wanachama wao kuheshimu sheria za nchi na kanuni za uchaguzi ili kudumisha amani. Mauaji pia yametokea...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Magufuli ameahidi kufanya Kituo cha Afya cha Mwanga kuwa hospitali ya Wilaya. Kwa sababu hiyo kutakuwa na hospitali mbili...
0 Reactions
4 Replies
921 Views
Tanzania ina wastaafu wengi sana ambao wanahudumiwa kwa kodi za Watanzania wote bila kujali dini Wala vyama vya siasa. Wastaafu wetu hawana budi nao kuwahudumia walipa Kodi Hawa kwa kwa...
1 Reactions
18 Replies
799 Views
Mwisho wa ubaya ni aibu. Kila chenye mwanzo kina mwisho. Mwisho wa kurukaruka na mauno yenu ni 28/10/2020. Kumbukeni CCM ni ileile. Haijabadilika. Ninyi si wa kwanza kudhulumiwa na CCM. Msipodai...
6 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom