Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kilimo: Chama hicho kinachoshiriki Uchaguzi Mkuu kikiwakilishwa na Mgombea wa Urais Philipo Fumbo kimeahidi kuweka trekta kila kijiji ambalo litakuwa chini ya ofisi ya Afisa Mtendaji Matrekta...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nikiri wazi sikuwa nimeisoma ilani ya Chadema hasa baada ya kuona mgombea wao hana mwelekeo mnzuri na kuisadia nchi hii. Leo baada ya kumsikia ndugu Polepole nilishtushwa na kipengere kinachohusu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ukweli wa Mambo Magufuli anashinda Kwa kishindo ..itoshe kusema kwamba Hana Mpinzani Kwa Tanzania,Afrika na Dunia Uwezo wake wa kufanya kazi kila mmoja anaujua jinsi alivyo mtekelezaji kuliko...
3 Reactions
61 Replies
4K Views
Ninawiwa kuandika waraka wangu binafsi kwa waTanzania kuhusu umuhimu wa kupiga kura na kuchagua mgombea ngazi zote kwa kuzingatia vigezo vifuatavyo: 1. Binafsi mimi nitapiga kura lakini...
0 Reactions
2 Replies
879 Views
Ndugu zangu, bado wiki moja tu ya kufanya maamzi sahihi kwa yule aliyekuwa anatuona watu wa kawaida. Kimsingi sisi ni watu wa juu na tutabakia juu kileleni. - Alitutumbua nasi twendeni tumtumbue...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna kila dalili kwamba Mgombea Ubunge wa Chadema Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ambaye pia huitwa 'Rais wa Mbeya' huenda akavunja rekodi aliyoiweka mwenyewe 2015, ya kuwa mbunge...
11 Reactions
13 Replies
38K Views
Kufuatia kushindwa kwa Serikali ya CCM kushikwa na kigugumizi cha kuwaamuru wanunuzi woote wa korosho kutekeleza utaratibu wa kusafirisha korosho msimu huu wa 2020/2021. Kabla ya kuingia kwa...
66 Reactions
187 Replies
16K Views
Huku siku zikiyoyoma kuelekea siku ya Uchaguzi Mkuu, mgombea Urais anayependwa na wengi na ambaye anatarajiwa kushinda kiti hicho kwa zaidi ya 70% Tundu Lissu leo anaendelea na kampeni za kuomba...
57 Reactions
232 Replies
23K Views
Baada ya kuona upepo unazidi kua mbaya na mgombea wa upinzani akisisitiza kulinda kura ili wahuni wasichakachue..na endapo wakichakachua basi raia wataingia barabarani. Wagombea wa CCM wamekazana...
2 Reactions
1 Replies
905 Views
Kwa mujibu wa tume ya uchaguzi vyama vyote vinatakiwa vipeleke majina ya mawakala wao kwa ajili ya viapo siku saba (7) kabla ya uchaguzi na kesho ndo siku yenyewe ya kuwasilisha majina na viapo...
10 Reactions
44 Replies
5K Views
Wadau, Viongozi na Wachambuzi wa Sayansi ya Siasa nawapa salamu bila kuwasahau wana JF, katika jukwaa hili tupo mchanganyiko kwa taaluma zetu, ninawaomba wale wenye majibu mahsusi yanayohusu...
1 Reactions
2 Replies
551 Views
Kuhakiki taarifa, Mpiga Kura anatakiwa kuwa na Namba ya Mpiga Kura ambayo ipo kwenye Kadi ya Mpiga Kura. Kuhakiki taarifa weka namba ya mpiga kura (kama ilivyoandikwa kwenye kadi yako ya Mpiga...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Amani ya nchi hii ilikuwa ya thamani mno kiasi kumtaka kila mmoja wetu kufanya yote yawezekanayo kuhakikisha kuwa hatutetereki lilikuwa si jambo la kupuuzwa. Tume kwa kuendesha uchaguzi wa wazi...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Hii ni baada ya wananchi kukubali Mabadiliko kwa moyo mweupe kabisa. Utawala wa kisultani wa jimbo hilo unaenda kuangushwa baada ya hongo ya viberiti, chumvi, Sukari na Ulanzi kugonga mwamba...
17 Reactions
29 Replies
4K Views
Tumerudi tena African Court @court_afchpr tunadai kwanini Serikali haitekelezi uamuzi wa mgombea binafsi?, Mtikila amepambana mwisho wa siku ameondoka, tunaendelea alipoishia Mtikila. Serikali...
7 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni ushauri wa bure, tumia mitandao ya kijamii vizuri Usitukane, usidhalilishe Uchaguzi utapita Tanzania itabaki
13 Reactions
73 Replies
6K Views
Huyu Jakaya kikwete Rais mtaafu amenishangaza sana jana kwa kauli yake ya kuishi nyumba ya kupanga na bado ana mkataba na mwenye nyumba. Kichangia neno katika kupokea nyumba za vingozi mzee...
25 Reactions
114 Replies
10K Views
Habari za Jioni wana Nzengo! Sasa iko wazi kutokana na umahiri, uwezo, nia na ari aliyonayo Mh Tundu Lissu Mgombea wa Chama cha Demokrasia na maendeleo ktk ngazi ya Urais atashinda uchaguzi huu...
23 Reactions
47 Replies
3K Views
Habari za wakati huu "Maendeleo ni hatua (Development is a Process) ambayo inalenga hasa kuhakikisha kuna kuwa na jamii bora, iliyostaarabika, yenye furaha na inayopata mahitaji yake yote ya...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Back
Top Bottom