Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Napenda kuwapa pole CCM kwa kuondokewa na kada makini aliyekipenda sana chama chake. Dkt. Donald Kisanga alikuwa kada wa CCM na mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini Kiongozi wa chama cha waimbaji...
13 Reactions
197 Replies
39K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dr. Hussein Ali Mwinyi leo ameongoza mazishi ya Jaji Haji Omar Haji huko mkoa wa Mjini Magharib Unguja Zanzibar. Jaji Omar Haji Mazishi...
3 Reactions
12 Replies
4K Views
Ni huzuni & majonzi Ameumaliza mwendo Kazi ya Mungu Haina makosa Mshiriki, Mzee wa Kanisa na Muinjilisti wa Kanisa la Waadventista Wasabato Mjini Kati Arusha Alishiriki vema akitoa Zaka na...
10 Reactions
271 Replies
47K Views
Taarifa za hivi punde ni kuwa Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Mhe. William Ole Nasha amefariki dunia nyumbani kwake Jijini Dodoma. Marehemu alikuwa Mbunge wa Ngorongoro na amekuwa...
11 Reactions
157 Replies
23K Views
Diwani wa Kata ya Likombe iliyopo Wilaya ya Mtwara, Mohamed Rashid Musa amefariki dunia leo Alhamisi Septemba 9 saa mbili asubuhi. Katibu wa CCM Wilaya ya Mtwara, Eliud Shemauya ameiambia...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) na Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto (Mikocheni B Assemblies of God ) Mchungaji Dk. Getrude Lwakatare amefariki dunia Alfajiri ya leo. Mtoto wa amarehemu...
58 Reactions
485 Replies
122K Views
Aliyekuwa mbunge wa vunjo mwaka 2000 - 2005 Meja Jesse Jeremiah Makundi (TLP) amefariki dunia leo alfajiri Kilema Hospital alipokuwa akipata matibabu. Pia alipata kuwa Diwani wa Mwika Kaskazini
3 Reactions
21 Replies
5K Views
Marehemu Maalim Seif Mohamed Azzan amefariki dunia usiku wa kuamkia leo kisiwani Pemba. Marehemu ni miongoni mwa waasisi wa harakati za mageuzi na kuwaunganisha wazanzibari, kupigania haki na...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
TANZIA: MEYA WA MANISPAA YA SHINYANGA AFARIKI DUNIA. Mstahiki Meya wa Manispaa 1ya Shinyanga David Mathew Nkulila ambaye ni Diwani kata ya Ndembezi David Nkulila(CCM), amefariki dunia usiku wa...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA mh Freeman Mbowe amefiwa na mama wa mke wake ambaye ni mke wa mzee Edwin Mtei. Poleni sana familia ya Mbowe na Mtei. RIP mama Mtei
21 Reactions
123 Replies
13K Views
Lala salama baba. Tunakushukuru sana wa huduma Mungu aliyokuwa amekujalia Uliitumia vyema karama Mungu aliyoiweka ndani yako Mwendo umemaliza 💔💔💔 --- Daktari Bingwa wa Watoto Dr Augustine...
16 Reactions
153 Replies
20K Views
DEATH ANNOUNCEMENT ‎إِنَّا للهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعون "Surely we belong to Allah and to Him shall we return". It is with sadness that we share the news of the demise of ALHAJ FARAJ AHMED...
6 Reactions
118 Replies
18K Views
DEATH ANNOUNCEMENT Somaiya Family regrets to announce the sad and sudden demise of Mr Tanil Chandulal Somaiya on Wednesday 11 August in Dar es Salaam. Funeral details to be announced later. We...
12 Reactions
104 Replies
17K Views
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Jiji la Dar, Mbunge wa Ubungo na Waziri kipindi cha awamu ya tatu Charles Ndiliana Ruwa Keenja amefariki Dunia leo akipatiwa Matibabu Seifee Hospital jijini...
8 Reactions
116 Replies
24K Views
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepokea kwa mshtuko, majonzi na masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Ramadhan Ali Abdallah Maarufu (Mzee Kichupa)...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Diwani wa CCM kata ya Luduga wilaya ya Wanging'ombe Mkoani Njombe, Hassan Ngella amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Mbeya baada ya kuugua ghafla. Katibu...
3 Reactions
23 Replies
5K Views
Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu (TCU), Prof. Mayunga Habibu Hemedi Nkunya amefariki dunia leo Julai 20, 2021 katika Hosp ya Taifa, Muhimbili. Marehemu Prof. Nkunya alikuwa Profesa Emerita katika...
15 Reactions
221 Replies
21K Views
Aliekuwa mgombea ubunge kupitia hatua za awali za kupata kupeperusha bendera ya c.c.m Musoma mjini Dr. Kayombo afariki ktk hospital ya Mkoa wa Mara alfajiri alipokuwa akipata matibabu. Kayombo...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari za muda huu Habari zilizotufikia toka Mwanga mkoani Kilimanjaro zinasema Diwani Salim Zubery wa kata ya Kileo Halmashauri ya Mwanga amefariki dunia muda mfupi uliopita.
5 Reactions
45 Replies
4K Views
Wakuu, hizi ni taarifa mbaya. Mwandishi wa habari mkongwe Atilio Tagalile ametutoka usiku wa kuamkia leo! Alilazwa kwa wiki moja. Awali Hindu Mandal kisha Rugambwa hadi umauti ulipomfika saa...
29 Reactions
64 Replies
7K Views
Back
Top Bottom