Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wanabodi kuna watu walazimisha ukweli uwe uongo na uongo uwe ukweli, Lakini wanasema hata vitabu vya dini vinasema mahali popote ulipo ukweli ndipo nuru ilipo. Sasa nauliza hivi kuna watu bado...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Chama cha Maaskofu na Wachungaji (TPA) kimeiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kusimamia Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020, kwa kuzingatia sheria, kanuni na miongozo ili haki itendeke. Kimesema...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
*Does it make any sense?* Kuhusu Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu. Na TUNDU Lissu 16.09.2020 Mbeya. Andiko hili limetolewa kama ufafanuzi malalamiko ya CCM juu ya hoja za Uhuru, Haki na...
10 Reactions
15 Replies
2K Views
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini ambaye pia ni Rais wa eneo hilo Mhe. Joseph Mbilinyi , leo amefika kata ya Nsalanga kuomba kura kama sheria inavyoelekeza, pamoja na mkutano wake kuvunja...
17 Reactions
39 Replies
6K Views
Chama kimegawanyika vipande vipande kwa sababu ya watu hawa wawili Hawakuwahi kuwa wana CCM kabisa, wamekuja wameleta aidia za kizamani kabisa wakidhani Watanzania wako stone age. Hawa wapo...
17 Reactions
36 Replies
4K Views
Ni majimbo yafuatayo: 1. Kawe 2. Mikumi 3. Iringa mjini 4. Mbeya mjini 5. Tunduma 6. Hai 7. Karatu 8. Bunda 9. Tarime mjini 10. Tarime vijijini 11. Arusha mjini Natamani kuona nguvu ya...
2 Reactions
48 Replies
4K Views
"Nikipata nafasi ya kuwa Rais, suala la changamoto kwa wakulima wa korosho kwa muda mrefu litaisha. Nitahakikisha pembejeo bora zinapatikana kwa wakati. Kupatikana kwa masoko yasioingiliwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari! Swali langu ni hilo, napenda kuelewa ni namna gani au sheria za Uchaguzi zinaruhusu kwa upande wa Bara kuweza kushiriki uchaguzi kwa kumchagua Rais katika kituo tofauti na...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Akiwa kwenye kampeni zinazoendelea ambapo ratiba ya Leo imempeleka Lindi na Ruvuma , amehutubia mkutano mkubwa sana wa kampeni Nachingwea , ambapo amewaomba wananchi wajitokeze kwa wingi kupiga...
6 Reactions
20 Replies
3K Views
Katika kile ambacho Rais Magufuli huwa anakisema mara nyingi kuwa yeye ni Rais wa wanyonge na masikini ndicho kimenipa kipaumbele cha kuandika uzi huu. Ni kweli yeye ni Rais wa wanyonge na...
10 Reactions
13 Replies
2K Views
Leo Tarehe 07/10/2020 Mheshimiwa Boniface Jacob anatarajia kuendeleza Kampeni zake za Ubunge Jimbo la Ubungo katika Kata ya Makuburi. Muda ni Kuanzia Saa 8:00 Mchana, Mtaa wa Kibangu viwanja...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nakuomba si kwamba wewe ni dhaifu bali your strength hata watoto wameiona. Nakushauri simama hizo siku 7 kwani katika nafsi zao wana hofu kuu wapo tayari kufanya lolote ili kukuzuia. Kila mtu...
42 Reactions
159 Replies
11K Views
Baada ya mapema leo polisi kuzuia msafara wa Tundu Lissu eneo la Kiluvya, hatimae wameondoka na kuacha uendelee na safari na Lissu amesema ataendelea na safari yake kama ilivyopangwa na atakutana...
63 Reactions
161 Replies
21K Views
Mkurugenzi wa uchaguzi katika Tume ya Uchaguzi ameonya wagombea wote wanaotoa lugha za uchochezi, matusi na vitisho kwamba watafutwa na kuondolewa kwenye uchaguzi. Dkt. Mahera amesema Tume yake...
6 Reactions
148 Replies
14K Views
NEC isipomuegua Tundu Lissu, ni go-ahead ya kuipoteza CCM Zanzibar. Je, muungano utasalimika? Na, Robert Heriel Jambo kubwa linaloendelea katika vichwa vya wafuatiliaji wa masuala ya kisiasa ni...
5 Reactions
50 Replies
7K Views
Mgombea ubunge wa jimbo la Sengerema alivyokuwa kwenye mkutano katika kijiji cha Mchangani kasema changamoto zingine atazimaliza kwa pesa yake mwenyewe, kwa kuanzia atatoa mifuko 200 ya saruji...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Na Mackdeo shilinde Wana-Ubungo nawasalimu kwa jina la Yesu kristu wa Nazareth na Mtume Muhammad (SAW). Binafsi Ni miongoni wa vijana ambao tunafatilia kwa umakini wa hali ya juu, siasa na...
5 Reactions
96 Replies
9K Views
Mbinu pekee ya CCM kushinda Uchaguzi huu ni miujiza tu, hali yao si tu ni mbaya bali ni dhooofuli hali. Jionee mwenyewe.
19 Reactions
80 Replies
8K Views
Tukiwa tumebakiwa na wiki tatu tu Watanzania tupige kura kuchagua Rais, wabunge na madiwani. Licha ya kuwa na wagombea 15 wa kiti cha Rais lakini mpaka sasa wenye nguvu ya ushawishi ni kutoka...
58 Reactions
122 Replies
10K Views
Hii hapa ndio hali halisi kwenye mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Tarafa, Sirari
35 Reactions
102 Replies
12K Views
Back
Top Bottom