Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Pamoja na kwamba Magufuli amepiga kampeni kwa miaka mitano na miezi hii miwili ya NEC lakini ukifuatilia vizuri kampeni zake, utagundua kuwa ana hofu zaidi ya kushindwa kupata kura za kumuwezesha...
10 Reactions
41 Replies
4K Views
Habari za wasaa huu watanzania wenzangu ndugu na marafiki kwaajumla. Natumai mu wazima wa afya njema kabisa na mnaendelea vizuri na kujituma katika kazi zenu za kila siku. Sasa leo nitaenda...
5 Reactions
86 Replies
6K Views
Hili ni ombi langu kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema , Shughuli ya kampeni za uchaguzi katika jimbo la Karatu isitishwe , hii ni kwa sababu chama hicho kimekwishashinda uchaguzi huo...
16 Reactions
38 Replies
4K Views
Anaandika Mwalimu Noel Msigwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi imejiaibisha kwa mara nyingine tena. Kumuita mgombea wa Chadema Tundu Lissu kwenye Kamati ya Maadili kumtaka ajieleze kwanini anasema...
44 Reactions
76 Replies
7K Views
Kupitia akaunti ya Twitter ya Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu ameandika Polisi Nyamongo wameshambulia msafara wetu kwa mabomu ya machozi wakizuia njia kuelekea kwenye mkutano wetu wa kampeni...
32 Reactions
336 Replies
37K Views
Mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuingia kwa kishindo kikubwa mjini Bukoba. Mji wa Bukoba ambao ni ngome Kuu ya Chadema unatarajiwa kuzizima Leo wakati shujaa huyo...
50 Reactions
191 Replies
21K Views
Wakuu Salaam; Kila anayeshika kipaza sauti kutokea CCM analalamika kuwa kuna mgombea anapokea maagizo toka nchi za nje lakini hawaweki wazi ni maagizo gani? Juzi Mwigulu naye alisema hivi hivi...
5 Reactions
59 Replies
5K Views
"Njombe ni wakulima wazuri, lakini kinachowakabili ni tozo hususan katika suala la miti, ambapo TRA wanawatoza kodi wakulima, lakini pia miti hiyo ikifika kiwandani kuongezewa thamani TRA wanatoza...
22 Reactions
54 Replies
6K Views
Watu wana miminika barabarani kama nzige. kumlaki Mkombozi nasikia Singida wamejiapisha KUVUNJA REKODI. Dakika chache zilizo pita Moshi
47 Reactions
146 Replies
15K Views
Na John Walter - Hydom, Mbulu Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Frederick Sumaye amesema vyama vya Upinzani nchini haviwezi kuongoza nchi kwa sababu hawana sera. Ameyasema...
6 Reactions
34 Replies
5K Views
Wapwa, Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya...
16 Reactions
167 Replies
15K Views
Wananchi wanafanya tathmini ya chama kilichopo madarakani kimewafanyia nini, kisha wanatoa majibu. Wananchi wanafanya tathmini ya chama kinachoomba ridhaa ya kukamata Dola, je kina uwezo huo...
1 Reactions
77 Replies
6K Views
Toggle navigation AllAfrica Tanzania: Key U.S. Congress Members Raise Concerns About Elections and Treatment of U.S. Investors in Tanzania Washington, DC — The ranking Democratic and Republican...
5 Reactions
62 Replies
5K Views
Mwenendo wa kampenii wa chama chetu uko vizuri sana. Mpk sasa hakuna hata mgombea wetu mmoja wa udiwani ama ubunge aliyeenguliwa. Kampeni za mgombea urais zina utulivu mkubwa na zinafanywa...
11 Reactions
51 Replies
4K Views
RASMI: ACT-WAZALENDO YAMUUNGA MKONO MGOMBEA URAIS WA CHADEMA Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad ametangaza chama chao kumuidhinisha Mgombea wa CHADEMA, Tundu Lissu kuwa...
98 Reactions
537 Replies
49K Views
Hii picha imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii huku wengi wakihoji juu ya uwepo wa glasi moja tu ya maji. Wengine wanapiga dua, Polepole yuko busy na simu
18 Reactions
123 Replies
17K Views
Leo kwa mara nyingine CHADEMA imeidhihirishia umma kuwa ni chama cha kidikteta na isiyoheshimu misingi ya demkrasia, uhuru na haki ya kisiasa ya kila chama na kila mtanzania. Dunia yote...
6 Reactions
53 Replies
6K Views
Leo nataka kuteta kidogo na Ndugu Zitto Kabwe,Kijana uliejizolea umaarufu mitandaoni na kuyasahau matatizo ya wananchi wanyonge katika jimbo lako la Kigoma Mjini. Hakika umekuwa machachari kwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wasalaam wanaJF, Leo ni siku ya Jumapili, naamini watu wengi mko katika mapumziko ya wiki. Huu ni muda muafaka katika wiki ambao tunaweza kuutumia kujadili mambo ya kisiasa yaliyotokea na...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Katibu mkuu wa CHADEMA J J Mnyika amesema chama chake kitaendelea na kampeni za uchaguzi leo huko Unguja katika visiwa vya Zanzibar. Wote mnakaribishwa. Maendeleo hayana vyama!
13 Reactions
111 Replies
11K Views
Back
Top Bottom