Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimemsikiliza mke wa Lisu kila anapopewa nafasi kwenye mikutano ya kampeni yuko vizuri mno kwenye kunadi Sera. Kwanza katulia hasa HIGHLY COMPOSED. Hana jazba na ana pointi Huyu ndie CHADEMA...
5 Reactions
18 Replies
3K Views
Siasa ni mchezo mmoja wa ajabu. Siasa haitaki hasira wala kuilazimisha. Taabu anayopata Mh Magufuli kujinadi sasa hivi haikutegemewa, pamoja na mazuri mengi aliyofanya. Ndugu yetu Membe kaingia...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Mambosasa: Polisi tumesitisha kumuita Tundu Lissu, tunamtaka aendelee na Kampeni zake Baada ya mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu, kukataa...
71 Reactions
376 Replies
32K Views
MOJA: Reli nyingine zilizopo na zenyewe ni standard gauge - TAZARA, RELI YA KATI, (DAR -KIGOMA) na ya TANGA-ARUSHA MBILI: Marais wengine wote na wenyewe walianzisha mabwawa ya umeme, kuanzia...
35 Reactions
76 Replies
10K Views
Watanzania Poleni kwa msiba mkubwa wa Baba yetu Ben Mkapa Chama na Taifa tumepata pigo kubwa hakika ni mwaka mgumu kwetu Watanzania Mwenyezi Mungu atupe subra pole nyingi ziende kwa Rais...
10 Reactions
41 Replies
4K Views
Katibu Muenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema upinzani huwa hauongezeki, ukiona kitakwimu umeongezeka huwa inakuwa ni matokeo ya CCM wakiwa na mgogoro wa ndani CCM wakiwa na mgogoro wa ndani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tulisikia taarifa ya Kamati ya Maadili ya Tume ya Taifa ya uchaguzi, katika kikao chake ilichoketi Jana, ikitoka na uamuzi wa kumfungia Tundu Lissu, kutofanya mikutano ya kampeni kwa wiki moja...
11 Reactions
22 Replies
3K Views
Hawasikiki kabisa. Kweli maisha yanaenda kasi sana. Sikuwahi kudhani kuwa Chama cha Chauma na Mgombea wake wa Urais Bw.Hashimu Rungwe wangekuwa maarufu kuliko CUF ya Lipumba au kuliko Bernard...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa mujibu wa ratiba ya CCM Wilaya ya Kyela , Leo tarehe 11/9/2020 ndio siku iliyopangwa kuzindua kampeni za uchaguzi, ambapo Mgombea ubunge wake aitwaye Kinanasi ambaye inasemekana miezi 6...
22 Reactions
80 Replies
9K Views
NDIYO, hatutakubali yaliyofanyika kipindi kile cha uchaguzi na Zanzibar ya Jecha Kwa mjibu wa kanuni za maadili na Sheria za uchaguzi, zinavitaka Vyama Vyote vinavyotoa wagombea Kwa ajili ya...
8 Reactions
32 Replies
2K Views
Kutoka afisi kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar ndugu katibu mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole anaongea na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa kampeni za wagombea kuanzia ngazi ya Urais mpaka...
2 Reactions
78 Replies
8K Views
CHADEMA inahitaji wataalamu wa stratejia ya siasa (Political Strategists) kuweza kuitoa CCM madarakani kwa urahisi. Vyama vikongwe na vyenye dola kama CCM vinahitaji kufanyiwa mkakati maalumu...
9 Reactions
93 Replies
6K Views
Kama kuna Jimbo ambalo endapo CHADEMA na Mgombea wao Halima Mdee 'watazichanga' Karata zao vizuri sana basi 'watashinda' mapema tu kutokana na 'Mgawanyiko' mkubwa uliopo basi ni la Kawe. Wale wana...
51 Reactions
401 Replies
29K Views
Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga...
19 Reactions
108 Replies
9K Views
BUSEGA- SIMIYU Ukuaji wa uchumi wa Tanzania haujaambatana na kasi kubwa ya kupungua kwa watu masikini. Idadi ya watu masikini kwa kutumia kipimo cha taifa cha umasikini (mtu mzima kutumia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ama kwa hakika awamu ya 3 ya Lissu itakuwa kufuru kubwa Sana. Umaarufu wake utaongezeka Mara 10. Kila kizazi kitatamani kumuona akimwaga Sera na kuichana vibaya hii serikali ya CCM. My betting Ni...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
*HUKUMU YA TUME DHIDI YA TUNDU LISSU* Ukisoma taarifa ya Tume kuhusu Kumsimamisha Tundu Lissu kufanya kampeni SIKU SABA (7) na ukitafakari kwa kina kuhusu Mwenendo na Kanuni za Utoaji Haki...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
WANANCHI WA BARIADI MMEKOPWA PAMBA NA HAMJALIPWA PESA ZENU HADI LEO HII SIO HAKI.NIPENI KURA OKTOBA 28, NIWE RAIS NITATUE TATIZO HILI "PRO.LIPUMBA" BARIADI- SIMIYU Mgombea Urais wa Jamhuri ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zipo ishara za wazi sana kuwa Rais Magufuli anaenda kushughulikiwa vilivyo na jumuiya za kimataifa na litakalotokea mpaka watanzania wenyewe watashangaa. Nimemsoma Dr. Christopher pahala (Huyu ni...
24 Reactions
25 Replies
3K Views
Wanabodi, katika siku tatu hizi mfululizo kuna mambo mengi ya kisheria tumejifunza kama wana. Ingawa Tundu Lissu anaweka mitego ili tujiingize kichwa kichwa halafu ije tuonekane ni nchi...
10 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom