Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Akiwa mkoani Ruvuma, Manispaa ya Songea mjini akiwahutubia maelfu ya watani zangu wale ambao ukimwachia mke wako dakika mbili ujue imekula kwako Zitto zuberi Kabwe amesisitiza lengo ni kuiondoa...
9 Reactions
39 Replies
4K Views
Mwaka huu wa uchaguzi tunashuhudia kampeni za uchaguzi zikiendelea kushika kasi huku upande wa upinzani ukiwa na hoja imara zenye kukosoa sera za kimazoea za chama tawala. Nasema ni sera za...
17 Reactions
15 Replies
2K Views
Wacha CCM wazungumzie sera mpaka washikwe na presha, huku upinzani ni kampeni za kuisaga CCM na kuonyesha uovu wake wote na hawastahili kuongezwa hata dakika moja. Waende mitaani na sera zao za...
6 Reactions
12 Replies
1K Views
Lissu akiwa Sumbawanga kadai kuwa wakina mama wajawazito wanatozwa tozo mahospitalini pindi wanapojifungua. Kuwa mama akijifungua mtoto wakiume anatozwa tozo kubwa kuliko aliejifungua mtoto wa...
8 Reactions
164 Replies
12K Views
Dkt. John Magufuli, mgombea urais kupitia CCM amesema akichaguliwa atatuma Tsh milion 5 ili kujenga madarasa ya shule ya msingi Ulanga ambayo mwanafunzi aliyekuwa kwenye mkutano wa kampeni alitaja...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA la Tarehe 5 Juni, 2020 SEHEMU YA TANO Ukururasa wa 14. Angalia Kiambatisho. 5.2.2 Kamati ya Kitaifa Itakuwa na mamlaka ya kusikiliza...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa miaka 5 mfululizo CCM imefanya mambo mengi ambayo yangetosha kuwa mabango yao ya kampeni kwenye uchaguzi wa 2020. Kazi zilizofanyika awamu ya tano pia zilijumuishwa kwenye wimbo wa Harmonize...
8 Reactions
29 Replies
3K Views
Kuna wakati hapo nyuma, ambao baadhi yetu tulitilia Shaka Sana organization ya Chadema ktk Mambo kadhaa wakati huu wa kampeni. Kuna Mambo mengi wamefanyia marekebisho nakubali na Mambo yako sawa...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Huu hapa ni mkutano uliopigwa leo kwenye viwanja vya Mapofu , Wingwi kisiwani Pemba , Maalim Seif si mtu wa kawaida hii ni Taasisi , haiwezekani kwa mtu wa kawaida kuungwa mkono kwa kiwango hiki .
16 Reactions
13 Replies
4K Views
..sina uhakika kama baada ya hotuba hii ya Zitto Kabwe wananchi wa Kigoma wataipigia kura CCM.
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi karibuni chama cha NCCR-Mageuzi kilizindua Ilani ya Uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ambayo kiujumla wake ilibeba ajenda takribani 10. Ajenda hizi ni pamoja na: 1. Muafaka wa Kitaifa 2. Katiba...
4 Reactions
9 Replies
839 Views
Kwa mujibu wa katiba ya nchi na kwa mujibu wa sheria za uchaguzi, Tume ya Taifa ya uchaguzi ndiyo yenye mamlaka na dhamana ya kuendesha na kusimamia chaguzi za wabunge na rais nchini. Katika...
32 Reactions
73 Replies
6K Views
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha NCCR-Mageuzi ndugu Yeremia Kulwa Maganja, anatarajia kuongea na wananchi wa Kigoma mjini hii leo Oktoba 01, 2020. Rais Maganja...
0 Reactions
0 Replies
987 Views
Leo Rais Magufuli amefika Vwawa mkoani Songwe katika mkutano wa kampeni, pamoja na mambo mengine Rais Magufuli aliongelea Songwe kama sehemu ya mwisho kupewa hadhi ya mkoa hivyo ataujali kama...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mgombea urais wa JMT ndugu John Magufuli muda mfupi ujao anatarajia kufanya mkutano wa kampeni hapa Tunduma. Pamoja na mambo mengine yanatatajiwa kutoka maneno makali yasiyo ya kawaida kabisa...
8 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari wanajf, kuna suala ambalo sio la kawaida limejitokeza siku ya leo pasipo kutegemea. Na kama ilivyo kawaida kwa kamanda mimi huwa sifumbi wala sifichi matatizo, nayamwaga ili kuwepo...
17 Reactions
159 Replies
18K Views
Tumetangaziwa kwamba Tundu Lissu ameitwa kujieleza kwa nini anasema wataingia barabarani. Suala hili linachiambuliwa kisheria namna hii. Katiba yetu inasema katika ugombea urais Tume...
56 Reactions
74 Replies
9K Views
Hii ni countdown maalumu kuelekea siku ya Uchaguzi mkuu Tarehe 28.10.2020. Shamrashamra ni nyingi na kampeni zimeshika kasi maeneo mbalimbali ya nchi.Visa na vimbwaga havikosekani pia. Ni...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kampeni zinaendelea nchini na sasa Magufuli yuko Mbalizi amesimama kusalimia wananchi waliokusanyika barabarani akielekea Songwe. Baada ya kuongelea mengi pia ameongelea hali ya sekta ya maji...
6 Reactions
38 Replies
3K Views
Jimbo la Kalenga hakika limempata mkombozi, Jackson Kiswaga ni moja kati ya watu makini mno kuwahi tokea hapa jimboni kwetu, huyu ndugu Kiswaga alianza kushiriki moja kwa moja kwenye shughuli za...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Back
Top Bottom