Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

•Utotoni ukiona mtu anatishia sana kwa maneno tulikuwa tukimpuuza maana mfanyaji HUSEMA mara moja na KUTENDA, maneno mengi ya ICC, kila siku ni vitisho vya kitoto. Kura na maamuzi yanafanywa na...
4 Reactions
44 Replies
4K Views
Ikiwa kumesalia mwezi mmoja tu kufanyika kwa uchaguzi mkuu, hali ya CCM kwenye jimbo la Temeke ni dhoofuli hali, Mgombea wake aliyeshindwa kura za maoni na Abbas Mtemvu aitwaye Dorothy Kilave...
13 Reactions
74 Replies
9K Views
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu...
5 Reactions
65 Replies
5K Views
Tukiondoa itikadi za vyama na ushabiki usio na maana sana hasa kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, tujikite sasa kuangalia msaada wa mtu binafsi kwa jamii husika. Askofu Gwajima ambaye ni kiongozi...
11 Reactions
129 Replies
8K Views
Mzee Shomari anauliza hili swali, sababu mwanasiasa makini lazima ujitafakari,je unaenda kupambana na chama ambacho kina nguvu kiasi gani? Kimejikita kiasi gani katika kujijenga? Kwanza...
12 Reactions
56 Replies
5K Views
Unga limited Arusha Kazi inaendelea
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari za jioni wakuu Naomba kuuliza wajuzi huyo aliyesimama na Binamu anaitwa nani ? Na ana cheo gani uko CHADEMA? Anaonekana he is very smart Naomba kuwasilisha
2 Reactions
24 Replies
5K Views
Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!! Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli. Sipati picha...
67 Reactions
222 Replies
18K Views
Kwa huu mtihani kabambe ambao jopo la watendaji wa Tume wakiongozwa na Majaji wenye weredi wa kutosha kushindwa kutafsri kanuni za uchaguzi na hatimaye Tindu lissu kuibuka kidedea kwa kuwapa...
12 Reactions
30 Replies
5K Views
29 September 2020 Arusha, Tanzania Source: video : Global online TV TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kupitia kwa mkurugenzi wake, Dkt Willson Mahera, leo Septemba 29, wamezungumza na wanahabari...
3 Reactions
80 Replies
11K Views
Mara nyingi tumeandika humu kuhusu mwisho halisi wa CCM jimbo la Kyela tukiwa na vielelezo kamili visivyo na shaka yoyote lakini tulipuuzwa , sasa ni dhahiri mwisho huo umetimia Pichani ni...
17 Reactions
18 Replies
4K Views
Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu kumepatikana mwamko na amsha amsha za aina yake! Kupitia Safu hii napenda nijadili haiba ya wagombea urais aina ya Lissu! Kwa waliopita ktk system ya kusolve...
54 Reactions
109 Replies
8K Views
Wote ni Wapiga Kura Mtaa kwa Mtaa Nyumba kwa nyumba Chumba kwa Chumba Hadi kieleweke
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Huwezi kuamini kwani ameonesha uwezo wa "man alone" kwa kuishika Tanga vilivyo. Yaani Magufuli atafika Tanga kusalimia tu. Hongera sana THE DRAGON LADY
4 Reactions
25 Replies
4K Views
Akiwa kwenye kampeni huko Maswa Mheshimiwa Shibuda ameungana na wazalendo wengine kukemea siasa za kuwagawa watanzania kupitia majimbo na kanda.
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Baghosha...![emoji23][emoji23][emoji23] Siandiki waraka hapa. Kwakifupi Leo watu wa Mwanza wameamua kuonesha hisia zao za kumpenda Rais Tundu Lissu usiku huu kwa...
109 Reactions
347 Replies
31K Views
Baba Askofu, Nimesoma nyaraka zako nyingi unazozitoa kwa kwa Watanzania wote. Kimsingi, ujumbe wako ni fikirishi, thabiti na hitimishi. Thamani ya ujumbe wako ni wa-kiungu unaoishi na kubeba...
27 Reactions
43 Replies
4K Views
Kila ninapomsikiliza huyu Mkurugenzi napata wasiwasi kabisa na uwezo wake wa kuifanya tume ya uchaguzi ikafanya haki. Kwanini isichukuliwe kuwa yeye ndiye chanzo cha hizi engua engua? Huyu si...
23 Reactions
93 Replies
7K Views
Wakuu mimi si mtaalamu sana wa sheria lakini najaribu kujiuliza maswali machache. 1. Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Kupitia mkurugenzi wake) inajaribu kujibu na kukanusha tuhuma kwa mgombea...
54 Reactions
157 Replies
10K Views
Kwa mujibu wa GAZETI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA la Tarehe 5 Juni, 2020 SEHEMU YA TANO Ukururasa wa 15. Angalia Kiambatisho. 5.4 Uwasilishaji wa Malalamiko Mgombea yeyote, Tume ya Taifa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom