Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Waungwana katika kupambana tunajua zikitokea fursa huwa tunazichangamkia kwa nguvu sana. Kila mwaka wa uchaguzi Tume ya Taifa ya Uchaguzi huwa inatoa nafasi za kazi za muda mfupi ili kusaidia...
0 Reactions
1 Replies
642 Views
Mgombea ubunge mh.Catherine Ruge wewe umekuwa mbunge wa kipindi cha miaka mitano iliyopita, nilitegemea ungesave ili uje kufanya kampeni vizuri bila kupitisha bakuli. Catherine umelipwa mshahara...
5 Reactions
86 Replies
8K Views
TUMIA HAKI YAKO YA KIKATIBA Tarehe 28 Mwezi October 2020 ni siku muhimu kwa kila Mtanzania kwanini inakuwa ni siku muhimu? Ndio siku pekee ambayo inaendakuleta mabadiliko kwa Mtanzania...
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Mwalimu aliwahi kusema kwamba taifa hili linahitaji vijana shupavu, jeuri, wanaojiamini na wenye kuhoji mambo kuhusu watawala bila ya kuogopa na siyo wale wa ndiyo mzee. Sasa nimekubali zaidi ya...
37 Reactions
54 Replies
5K Views
Nimesikilza hoja nyingi za Mgombea wa Chadema kwenye kampeni zinashawishi kuwa Serikali iliyoko madarakani imeshindwa kujibu changamoto za watanzania kwa kuwapatia uhuru, haki na maendeleo yao...
0 Reactions
1 Replies
690 Views
Kuna mgombea amekuwa akipotosha kuwa tukimchagua mpinzani kutatokea vita, tena amekuwa akiienda mbali kwa kusema "uongozi haujaribiwi". Naomba tume imuite akajieleze kuhusu upotoshaji wake.
16 Reactions
39 Replies
4K Views
Kanuni na maelekezo yanayosimamia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 baadhi yana ukakasi mwingi na kama dhana ya uadilifu kwa baadi ya watu haitaheshimika itasababisha uchaguzi huu kuwa na malalamiko...
14 Reactions
24 Replies
2K Views
Kesho mwamba na mwamba wanakutana Hai ambapo Tundu Lissu anatarajiwa kufanya mikutano mfululizo jimbo la Hai na atakuwa na mkutano jimboni huko pekee pamoja na mwenyeji wake Freeman Mbowe. Huyu...
44 Reactions
84 Replies
9K Views
Naona kama mawakala wa upinzani watafanyiwa mambo haya matatu. Moja: Wanaweza kuhongwa na CCM kuuangamiza upinzani, sioni wakala aliyeko kijijini kama ana uwezo wa kukataa laki tano apindishe...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kwanza nakupa pongezi kwa kazi kubwa uliyoifanya kwa miaka mitano ya kutujengea miundombinu ambayo itakapokamilika itakuwa nyenzo nzuri ya maisha kwa wananchi wa kawaida ambayo kwa sasa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Uwanja wa Samora umefurika na kutapika na hii haijawahi kutokea tangu uwanja huu umejengwa 1976. Ni kampeni za kihistoria, karibu. ========== Updates; MIGORI, IRINGA LUKUVI: Tunaomba...
10 Reactions
169 Replies
18K Views
UTATA WA MUUNGANO WA KISIASA (COALITION) WA CHADEMA NA ACT-WAZALENDO KATIKA MACHO YA SHERIA Mwaka 2019 bunge liliifanyia mabadiliko Sheria ya Vyama vya Siasa, Sura ya 258 kupitia Sheria Na. 1 ya...
15 Reactions
49 Replies
5K Views
Msikilize huyu jamaa yetu na jirani yangu anavyohangaika. Ndio anataka kumshinda Lazaro Nyalandu huyu kweli. Mungu ana maajabu yake makubwamno tumwachie aamue yeye. Kwa imani yangu ni kwamba huyu...
7 Reactions
27 Replies
4K Views
Akiwa huko Serengeti, Mheshimiwa Lissu ametolea ufafanuzi mzuri, wa kitaalamu na kisheria juu ya utaratibu wa kuitwa kwake kwenye tume kwa ajili ya maadili ya uchaguzi Lissu anasema kuwa kwa...
51 Reactions
77 Replies
8K Views
Soma hiyo ilani ya CCM ya mwaka 2015, ukurasa wa 7 kifungu cha 19(a) inasema pato la taifa limekuwa kwa asilimia 7. Ila Ilani ya mwaka 2020 ukurasa ya 10, kifungu cha 17 (b) inasema pato la taifa...
1 Reactions
7 Replies
944 Views
PROF. LIPUMBA KUUNGURUMA LEO WILAYANI USHETU, SHINYANGA Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba leo atawahutubia wananchi wa Wilaya ya Ushetu, Mkoani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwenye uchaguzi mkuu uliopita wa 2015 CCM ilipata kura 8,882,935 za urais, karibu nusu ya kura zote zilitoka kanda ya Ziwa na kanda ya Kati. CCM ilipata kura 3,638,623 kutoka mikoa 9 tu ya...
15 Reactions
76 Replies
7K Views
Nimeona mabadiliko ya hotuba za Lissu hivi karibuni kama ifuatavyo: 1. Hoja zinasemwa haraka haraka na muda hautoshi. 2. Hoja kadhaa muhimu hazina ufafanuzi wa kutosha. 3. Tundu Lissu na CHADEMA...
15 Reactions
24 Replies
2K Views
Salaam, Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu binafsi nimefanikiwa kuwashawishi watu kadhaa kuongeza ushindi kwa Tundu Lisu. Nilianza na mke wangu ambae yeye kajiandikisha hapo kiwalani...
32 Reactions
83 Replies
5K Views
Habari kwenu waungwana. Tangu nimekuwa nikifuatilia siasa za nchi hii kwa vipindi kadhaa vya chaguzi kuu. Hapa ni kwa kipindi ambapo sikuwepo ila kwa njia ya masimulizi ya kihistoria na vile...
54 Reactions
97 Replies
7K Views
Back
Top Bottom