Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

NIKIWA RAIS NITAIMARISHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI,KUFANYA BIASHARA NA UJASIRIAMALI"PROF.LIPUMBA" USHETU,SHINYANGA Mazingira ya kufanya bishara Tanzania ni magumu sana. Kwa mujibu wa Ripoti ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
NICHAGUENI OKTOBA 28,NIWE RAIS NIUNDA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA " PROF.LIPUMBA" USHETU, SHINYANGA. Nchi yetu imejaa ufisadi, ubinafsi, migawanyiko, kuumizana, ubaguzi, kutokuaminiana, chuki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwanzo Mimi nilikuwa namkubali Magufuli lakini hizi hapa ni sababu ambazo zinanifanya nimpe Rais wangu Lissu kura 1: Mpaka sasa hivi hamna aliyejibu hoja za Lissu kwa ufasaha! 2: Magufuli...
18 Reactions
45 Replies
3K Views
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, kupitia mtandao wa twitter,ametaka watu kupuuza tangazo linalodaiwa kutolewa na chama chake, tangazo linaodai kuwa kampeni za Mgombe Urais wa CHADEMA...
6 Reactions
44 Replies
7K Views
Watu wamechimba sana historia ya Lissu na kutafuta jambo lolote la ukosefu wa uadilifu wamekosa. Zaidi wameambulia kujitoa kwake kutetea haki za watu kwa kujitolea kwa moyo mkunjufu kabisa. Watu...
9 Reactions
25 Replies
3K Views
Zipo taarifa kuwa baada ya Tundu Lissu kutaka tume ipeleke barua kwake akiwa Serengeti tume imemtuma mtumishi mwandamizi akiwa amepakiwa kwenye pikipiki kupeleka barua hiyo. Taarifa hizi zinazidi...
36 Reactions
206 Replies
22K Views
Tundu Lissu sio muumini wa Muungano wa Serikali mbili. CHADEMA sio waumini wa Muungano wa Serikali mbili. Muulizeni Lissu anataka kuwa Rais wa Muungano upi?? Ni hivi; tunatafuta Rais wa Jamhuri...
1 Reactions
7 Replies
879 Views
Dkt. Magufuli aahidi kutoa umeme kwa Wananchi wa Igurusi akipewa miaka 5 zaidi
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Wote tunaona namna mambo yanavyoenda hovyo sana katika kampeni za mwaka huu. Kampeni hizi hazina uhuru wala usawa kwa vyama vyote. Vyombo vya habari vimekuwa vikitangaza habari ya chama tawala...
12 Reactions
24 Replies
3K Views
NEC hivi kweli hamuoni yanayoendelea katika nchi hii kwenye huu uchaguzi na kampeni? 1. Mwiteni mgombea URais wa CCM Kamati ya Maadili ahojiwe na yeye. Kama kweli NEC mmesheheni wanasheria...
29 Reactions
61 Replies
6K Views
Nimesoma hii taarifa kupitia ukurasa wa CHADEMA kule Twitter. Haijaelezwa bayana sababu za ahirisho hilo la mkutano muhimu jimboni kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Mbowe ambaye anakabiliwa na...
4 Reactions
74 Replies
11K Views
Harmonize amekuwa aki perform wimbo wake wa UNO mbele ya Magufuli kila mara Kwenye wimbo huu unaozungumzia kiuno (Uno) Kuna mstari unaosema 'Si ndio lile Gwajima alimmwagia kondoo' Akimaanisha...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
NEC Imekuwa mbele sana kujipendekeza kwa CCM na kuanza kujadili hoja badala ya kuwaaachia vyama vishindane. Vile vile wana toa miongozo ambayo haiwahusu ya kitu gani au agenda gani ziongelewe...
10 Reactions
35 Replies
3K Views
Kifungu cha 24 kifungu kidogo cha 4 kinaeleza kuwa; Iwapo Msajili wa Vyama vya Siasa ataridhika kuwa mgombea ambaye yeye mwenyewe, wakala wake au chama chake cha siasa kimefanya vitendo...
0 Reactions
5 Replies
668 Views
Huu hapa ni mkutano wa kampeni za Mgombea Ubunge wa CHADEMA Mhe. Cecilia Pareso jimbo la Karatu, kwa kadri ya macho yako unadhani kuna haja ya Mgombea Urais wa CHADEMA kwenda kufanya kampeni...
31 Reactions
66 Replies
8K Views
Mgombea wa ubunge kwa tiket ya CCM, Charles Kimei ana wakati mgumu kushinda jimbo hilo baada ya CCM kugawanyika, Inock Koola Zadock, mtoto wa Tajiri wa Kimarangu Mzee Koola (Mmiliki wa makampuni...
8 Reactions
34 Replies
6K Views
Nakipenda chama changu (CCM), lakini kinaniangusha pale tunaposhindwa kuzijibu hoja za wapinzani wetu na badala yake tunawalazimisha kutusifu na kuonesha nyuso za ucheshi, bashasha na tabasamu...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kabla hujaanza kampeni, nchi ilikuwa imekata tamaa. Watu walikuwa wamekata tamaa wakijiuliza ni lini ukombozi wao utakuja. Nchi ilikuwa kilio kila mahali si wa CCM, CHADEMA, CUF wala ACT. Ugumu...
0 Reactions
0 Replies
423 Views
Aisee haya mambo eti ya nunua nunua kwanza yanaikuza bure Chadema, unajikuta umenunua garasa halafu linakuwa replaced na CHUMA! Emb anzia Momba, Sumbawanga mjini, Mbeya mjini, Iringa mjini...
20 Reactions
44 Replies
4K Views
Huu ni ushauri wangu wa dhati na wa kweli kwa Rais Magufuli na CCM wote. Magufuli aache kupiga kampeni. Nasema hivyo kwa sababu naamini kuwa kadiri anavyozidi kupiga kampeni wapo wapiga kura...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom