Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Ni office kubwa, kuna partition mbili kubwa Kuna choo ndani Madirisha makubwa Parking nje ipo ya kuweka gari Location ni nyumba za Nhc opposite na Dar free Market Kodi ni laki nne na nusu kwa...
0 Reactions
0 Replies
621 Views
Nyumba inapangishwa Gongo la Mboto Majohe Vyumba vinne Master 1 Sitting room Dining room Store Public toilet Parking kubwa Uzio wa ukuta Maji kisima. Bei @200,000 kwa mwezi Mawasiliano 0744756127...
0 Reactions
1 Replies
874 Views
Nyumba inayojitegemea inapangishwa Iko-Dar-es-Salaam TZ Mahali - Goba Eneo - Tegeta Nyumba mpya ya kisasa Ya kifamilia kubwa Yenye:- Vyumba vinne vikubwa vya kulala vitatu kati ya hivyo ni...
0 Reactions
1 Replies
910 Views
Natafuta single room ambayo ipo standard maeneo ya Moshono~Arusha kisiwe mbali na barabara kuu na kisiwe uswahilini Kiwe na umeme na Maji Budget yangu Mwenye nacho Karibu Pm na picha. Sent...
0 Reactions
0 Replies
779 Views
Habarini Wakuu, Kama Kichwa cha habari hapo Juu Natafuta chumba maeneo ya Msewe, Ubungo, Mwenge, Sinza, Survei na yote karibu na maeneo tajwa hapo Juu. Sitaki Kuwachosha sana Bajeti yangu ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habarini, natafuta chumba self contained Dar es salaam. Maeneo ya ilala au magomeni so far the budget is up to 90k. Kwa mwenye connection au chochote here is my contact 0759007696
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala (kimoja ni 'master'), jiko, dining place iliyoungana na living room, pamoja na choo cha umma. Ina ukuta na geti zuri. Fimbo za kisasa za mapazia utazikuta...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kodi Tshs laki 3.5 Kwa Mwezi. Ipo ndani ya Fensi, Maji ya dawasa, Parking kubwa na luku yako. Nyumba Ipo jirani na kituo cha daladala ( Kwa Mguu dakika 3 ) Tuwasiliane: 0686648630 au 0675107182
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Vyumba 2 (Kimoja masta), sebule, choo cha ndani, jiko. Ipo Salasala, Kwa Mtenga. Kodi laki 3/Mwezi Wasiliana: 0686648630 / 0675107182
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Chumba kimoja kinapangishwa. Ndani ya fensi, choo nje (wanachangia wawili) Bei: Tshs 100,000 kwa mwezi Mahali: Mbezi Beach Samaki Wasiliana: 0686648630 au 0675107182
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salaam, Nyumba inapatikana Kimara (corner). Meter 300 kutoka Morogoro road. Inatumika kama nyumba ya kulala wageni. Ina vyumba 10 (vyote ni master). Iko ndani ya fensi, Huduma zote muhimu zipo...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nahitaji chumba cha kupanga Location: Moshono au Njiro Conditions: double self, umeme wa kujitegemea, kisiwe mbali na barabara Budget: laki mbili (200,000/=) Kwa yeyote atakae weza kusaidia kwa...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Nahitaji nyumba ya Kupanga Iwepo maeneo ya kimara yani kuanzia kimara mwisho kurudi maeneo ya town kwa maana ndani njia ya mwendokasi. Iwe na vyumba viwili kimojawapo masters..maji na umeme wa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari; napangisha nyumba ama apartment mbezibeach
0 Reactions
5 Replies
5K Views
APPARTMENT INAPANGISHWA IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MBEZI BEACH- AFRICANA ____________ APPART NZURI YA KISASA ________ ______ YENYE:- chumba kimoja cha kulala kimojawapo ni #Master#Sebule #kitchen...
0 Reactions
53 Replies
4K Views
Nyumba inapatikana TABATA, segerea Ina vyumba vinne. Vitatu kati ya hivyo ni self-contained na kimoja ni single Ina jiko LA kisasa Ina air conditions Ina large parking spaces Perving blocks Rent: 1m
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu. Mwenyezi Mungu amenisaidia nimepata kazi Tanga hivyo yeyote anaefaham au anaweza nisaidia kupata nyumba maeneo ya Kange karibia na stendi mpya ya Mkoa asisite kunifahamisha...
0 Reactions
3 Replies
854 Views
*Nyumba zinapangishwa mwenge maeneo ya mliman city.* Ni dakika 5 tu kutokea Mliman City. 1. Nyumba yenye vyumba viwili choo sittng room pamoja na jiko lake bei yake tsh 300,000/= kwa mwezi...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
NYUMBA inapatikana kimara, stopover Ina vyumba viwili (1self-contained) Seating room, Kitchen (open) & public toilet Maji na umeme unajitegemea Kutoka Morogoro road ni dakika 8-10 (mwendo wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom