Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Nyumba inapatikana wilaya ya ilala. Eneo ni Kivule (msongola) Njia unapitia KITUNDA Ina vyumba vitatu (1self contained) Ina jiko, sebule, na public washroom. Eneo LA kiwanja ni 25*22 (meter)...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa anayehitaji. Location : Chamazi Magengeni Bei : 120k kwa mwezi Malipo : Kuanzia miezi minne Maji : Bure Umeme : Mna share wawili Nyumba ipo ndani ya ukuta.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Salaam.. Natafuta nyumba nzuri ya kupanga maeneo ya Mikocheni, Dar. Muhitaji ana familia so inahitajika iwe ni ya vyumba viwili, sebule pamoja na jiko. Muhimu: Isiwe mazingira ya uswazi na bei...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
House 4 Rent Kigamboni [emoji117]4 Rooms with master room [emoji117] public Toilet [emoji117]sitting Room and dining [emoji117]kitchen [emoji117]Fence&Parking [emoji117]slide windows...
1 Reactions
1 Replies
980 Views
Nyumba ipo Mikocheni B Dar es Salaam Ina vyumba kumi (10) inaweza tumika kwa makazi au Office Full AC vyumba vyote Ina parking kubwa Ipo ndani ya Fence, Garden nzuri Bei ni USD 2000 kwa mwezi au...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wadau Kuna mdogo angu anapangisha nyumba ya vyumba vitatu vya kulala,sebule kubwa,choo cha public na master, dining na jiko.Nyumba inajitegemea iko peke yake iko goba center karibu na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Apartment inapatikana GOBA, njia panda ya kwenda SALASALA (mtaa wa maghorofani) Ziko apartment 6 kwenye compound Imebaki apartment moja ya chini Ina vyumba vitatu (1self contained), jiko LA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyumba ni nzuri na ya kisasa, kila kitu kipo kinachofanya iitwe ya kisasa, uzio mkubwa na amani kwa sana, vyumba vitatu vya kulala kimoja master, jiko kubwa lenye makabati, dining, sebule kubwa...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Natafuta appartment ya 2 Bedroom one master isiyozidi 600K mjini
0 Reactions
2 Replies
608 Views
salaam, Nyumba inapatikana kitunda. Km 3.5m kutoka NYERERE ROAD (old pugu road) Details Nyumba ina vyumba vitatu (kimoja master) Ina tiles na gypsum Ina leseni ya makazi na pia ipo kwenye zoezi...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari wadau! Natafta chumba na sebure maeneo ya Ubungo au mabibo, Kama unajua kilipo tuwasiliane.
0 Reactions
0 Replies
776 Views
Habari zenu wana JF. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nahitaji nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili vya kulala na sebule maeneo ya Arusha mjini. Bajeti haizidi 200,000/= tshs. . ...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa Ubungo (kibo) kituo cha kwanza cha mwendokasi kama unaelekea kimara, kutembea ni dakika nne tu toka kituo mwendo kasi, ni mita chache tu toka kituoni, ziko mbili kwenye...
1 Reactions
79 Replies
10K Views
Natufa chumba master na sebure maeneo ya mikocheni,mbezi beach,mwenge, Kijitonyama, Makumbusho na msasani Maji yawepo, na umeme wa kujitegemea . isiwe karibu na msikiti wala kanisa,kisiwe cha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Apartment mpya na iliyo sehemu nzuri inapangishwa katika Jengo la Watumishi Housing, Magomeni Usalama. Ina vyumba vitatu vya kulala, moja ni self contained. Ina sitting room, open dining room...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Apartment mpya na iliyo sehemu nzuri inapangishwa katika Jengo la Watumishi Housing, Magomeni Usalama. Ina vyumba vitatu vya kulala, moja ni self contained. Ina sitting room, open dining room...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
4bedrooms ( 1MasterBedroom) Tshs Laki7/Mwezi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Chumba Sebule na Choo ndani. Tiles, gypsum, Maji ya dawasco, ndani ya fensi & Umeme Luku. Tshs 150,000/Mwezi, Miezi 6 inatakiwa. 0675107182 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
586 Views
Ndugu zangu nakuja dodoma kwa kipindi cha miezi 3. Nahitaji chumba angalau nipunguze gharama za maisha. Budget yangu ni laki moja (100k) kwa mwez. Sifa za chumba nachohitaji - Choo cha ndani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Location; Tabata Mwananchi #Vyumba vitatu #Viwili Master #Ndani ya geti #Parking #Store #Kitchen #public toilet #Full Ac #Dak 3 hadi main road #full perving Bei ni Tsh 500,000 Term of payment 6...
0 Reactions
4 Replies
883 Views
Back
Top Bottom