Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Habari za mida wakuu Nahitaji kununua nyumba Maeneo ya tabora mjini budget million 15 kama ipo mawasiliano 0745257991
1 Reactions
0 Replies
973 Views
Looking for space, comfort for office rent,shops,residence and students hostels business? This is the perfect place for you This place is in a Fantastic Location, located at Chang’ombe, Temeke...
0 Reactions
0 Replies
862 Views
Bei ni sh. Laki 7 ( laki saba) kwa mwezi ilipwe miezi 6 ( miezi sita) Nyumba inavyumba v3 vya kulala Ina master bedroom Ina sitting room Ina dining Ina kitchen Ina public toilet Ina tiles Ina...
0 Reactions
1 Replies
862 Views
Salaam mabibi na mabwana Nawaletea hii hapa nyumba imetulia na nzuri sana ni ghorofa ndani ya geti Sifa zake -Tiles nyumba nzima -madirisha ya vioo -feni zipo ndani -makabati standard ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili vya kulala, jiko sebule, fensi, huduma ya maji ya kuaminika na ya kujitegemea umeme inahitajika maeneo ya njiro au moshono, budget laki 2.5. hapana madalali...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Closed
Wadau nimepata uhamisho natakiwa niripot mtwara tarehe 1vNov 2016 .Hivyo sina budi kuhama ikiwa bado miezi miwili kodi iishe kuanzia Nov 1. Hivyo basi ujiwa na kodi ya miezi miwili unirudishie...
0 Reactions
2 Replies
759 Views
Nyumba ina vyumba viwili vya kulala kimoja master, sebule na jiko, ni nzuri na ya kisasa, ni mpya haijawahi ishi mtu, ipo kimara mwisho umbali wa 1.8 km kutoka morogoro road, nyumba zipo tatu...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Sallam..napenda kuwakumbusha wana jamvi kwa uhitaji wa vyumba na nyumba za kupanga bado zinapatikana kwa bei nzuri tuu Dodoma mjini..popote upatakapo .Usihangaike wala kujichosha tupo kwa ajili...
0 Reactions
70 Replies
23K Views
Nyumba ina chumba, sebule na choo, ni nzuri na ya kisasa, ni mpya na haijawahi kuishi mtu, umbali ni dk 10 tu kutoka morogoro road, nyumba zipo tatu ndani ya uzio na kila moja inajitegemea maji na...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Upo Arusha na unahitaji chumba cha kupanga Master ina Chumba 1 Sebule 1 Choo ndani Luku ni yako Maji ya bomba yapo Maji ya kisima yapo yanapandishwa kwa mota Malipo 150,000/= (kwa mwezi)...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Nyumba mpya ya kisasa inapangishwa maeneo ya Mbezi beach- Africana. Vyumba3 self-contained kimoja master bedroom, sitting room, kitchen, public toilet, store, parking kubwa,Nyumba safi...
0 Reactions
3 Replies
954 Views
APARTMENT FOR RENT Nyumba inapatikana bahari beach opposite na feza boys secondary school (Dar es Salaam MBEZI BEACH) Nyumba ina vifutavyo vyumba viwili (master moja na chumba kimoja cha ziada)...
1 Reactions
3 Replies
938 Views
Habari Mtwara kwa mwenye apartment ñzuri na yenye usalama kwa 100% please ni pm N.B shangani apartment nazijua sihitaji hapo
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tsh500000 Hizi ni apartments 2 mpya kabisa,ina vyumba 4 vya kulala,viwili ni master,jiko na sebule kubwa sana,umeme na maji ni vya kujitegemea,nyumba IPO kimara stop over upande wa kulia ukitokea...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Tsh300000 Hizi apartment zipo 4 kwenye kampaundi moja apartment moja ndio ipo wazi ina vyumba 2 vya kulala HAKUNA MASTER, sebule, jiko na choo cha public maji dawasco masaa 24 bei ni 300k x 6 ipo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Chumba kipo mwenge, near TRA, bei ni 50,000 kwa mwezi, ni kuzuri sana, uzio upo, usalama wa kutosha, ukubwa wa chumba ni wakiasi, ni kidogo kwa vingine ndio mana ni 50k, so hakihitaji mtu mwenye...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
House 4 rent TSh300,000 Hii ni nyumba ambayo inajitegemea,IPO moja tu kwenye kampaund,INA vyumba vitatu vya kulala,vyumba viwili ni master,sebule kubwa jiko na dining,umeme na maji ni vya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
HOUSE 4 RENT TSh250,000 - KIMARA MWISHO Hii apartment anatoka MTU mwisho wa mwez huu,ni vyumba viwili vya kulala,kimoja wapo ni master,sebule jiko,IPO kimara. Mwisho upande wa kulia ukitokea...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
TSh400,000 Hii nyumba inajitegemea yenyewe kwenye fensi ipo mbezi njia ya Goba ina vyumba 3 vya kulala vyumba vyote ni master bedroom, na choo cha public, sebule kubwa, dining room, jiko kubwa la...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom