Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Salaam NYUMBA inapatikana Tabata, Kinyerezi Particulars Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala (master inclusively) Full tiles, gypsum and aluminium windows Ina perving blocks na iko ndani ya fensi...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Habari wakuu, Nahitaji nyumba ya haraka sana, Sifa: Vyumba Viwili+ Jiko Isiwe mbali na barabara kuu ya Morogoro road Iwe inafikika kwa Gari, Maeneo -Kimara mwisho kurudi hadi Ubungo au Survey au...
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Chumba master na sebule Public toilet Maji mpka ndani Umeme wako peke yako Ndan ya geti Kodi 120000 No 0759755452
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama nilivyoeleza hapo juu, INAHITAJIKA nyumba ya kupanga. Kodi isizidi milioni moja (1,000,000) kwa miezi sita. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
844 Views
1. Apatiment- Kunduchi Beach Ina Vyumba 2 Kimoja Kina Choo ndani, Sebule, Jiko na Choo cha Kuchangia. Ina Fensi, Maji ya dawasco, Luku yake . Inapangishwa Kwa Tsh 350,000 Kwa Mwezi Mmoja...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Nyumba inapatikana mbezi juu, kituo cha makonde. Nyumba ina vyumba vinne (ikiwemo viwili master bedroom) Vyumba vyote vina kabati za kuhifadhi nguo. Nyumba inajitegemea kwenye kila kitu...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Chumba Choo Sebule na Jiko. Ina Luku yake, Maji ya dawasco Masaa 24, ndani ya fensi na Parking IPO. Nyumba ipo Mbezi Beach, Bei ni Tshs 280,000/Mwezi. 0686648630 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
2K Views
CHUMBA KIMESHALIPIWA, Asanteni kwa ushirikiano wenu, hata wale ambao hawakua na nia ya kuchukua chumba ila walichangia na kufanya uzi kuendelea kua juu! Ukiwa na hitaji la nyumba au chumba...
0 Reactions
62 Replies
6K Views
Habari waheshimiwa, Nyumba ipo Dodoma maeneo ya Mipango imepakana na Chuo cha Madini,Unapanda Daladala moja mpaka mjini hakuna ulazima wa kupanda bodaboda kutoka nyumbani -Ina vyumba viwili self...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nyumba inapatikana Mbezi mwisho. Kutoka stand mpya ya mbezi ni mwendo wa dakika nane kwa miguu mpaka kwenye Nyumba. MAELEZO Nyumba ina vyumba vitatu kimoja ni self-contained room. Sitting room...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nyumba inapatikana mbezi beach (nyuma ya shamo tower business park) Nyumba ina vyumba vinne (viwili ni Master bedrooms) Ina kabati za vyumbani. Tiles, gypsums, slides windows plus perving blocks...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nyumba ipo Kimara Baruti kutoka morogoro road ni dk 4 Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master bedroom sebule jiko pamoja na public toilet Ina Tailz jipsum na MAJI yanatoka ndani masaa 24 pia...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Kama inavyosomeka hapo juu, inahitajika nyumba ya kupanga maeneo hayo niliyoyataja au karibu yake. Kodi isizidi milioni moja kwa miezi 6. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za majukumu nyote, Kuna Dada yangu kakwama anauza NYUMBA yake, iliyopo maeneo ya singida mjini. MAELEZO NYUMBA inapatikana singida mjini maeneo ya JINERI. kutoka stand kwa bajaji ni tsh 500...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Habari! Kuna chumba kinapangishwa maeneo ya Buguruni kwa Mnyamani. Chumba hicho nilimpangia dada angu ambaye alikuwa anatoka mkoani kuja Dar, lakini kwa bahati mbaya akapata majukumu mengine huko...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Mambo vp wanaJF Baada ya kusaka kazi kwa Muda mrefu kwasasa nmepata kazi katka jiji la arusha na natakiwa kuanza January 2...hv sasa natafuta nyumba ya kupanga na kodi ianzie 150000 hadi 200000...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nyumba inapatikana Tabata Segerea (karibu na stand) Umbali kutoka lami ni meter 150 na dakika 3-5 mpaka stand ya Segerea. Nyumba ni mpya kabisa. Nyumba ni ghorofa moja 1. UPANDE WA CHINI kuna...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Nyumba ipo peke yake kwenye uzio, ina eneo kubwa na bustani! Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja ni master, nina, sifa zake ni nyumba za kisasa, waweza ona picha! mazingira ni safi na maji ya...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
call/text/WhatsApp.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom