Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Apartment mpya kabisa hizi zipo kmr temboni upande wa kulia km unaenda mbezi kutoka main road ni dk 5 tuu kwa miguu zipo 3 kwenye kampaundi moja apartment moja ndio imebakia ina vyumba 2 vikubwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa Natafuta chumba cha kupanga, maeneo ya Kimara, Buguruni, Magomeni au eneo lolote lisilo na Foleni ya Kwenda Muhimbili National Hospital(gari moja) Kiwe kizuri, ikiwezekana na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
3 Rooms (2Masters) public Toilet sitting Room Dining Room Kitchen Garden Fence&Parking slide windows 3 apartment IPO Kigamboni 5km toka kwenye pantoni/4Km toka darajani Price:450,000Tsh. Per...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Nahitaji chumba cha kupanga Location Mtanda Lindi gharama isizidi 30000 kwa mwezi Umeme ni lazima
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kichwa chajieleza Location Dar riverside ubungo maziwa changanyikeni kimara kona na maeneo ya karibu na hayo.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Fully furnished 4 bedroom house for rent available click here to view . Fully furnished 4 bedrooms house two rooms are ensuite and one master bedroom, and one single room. Kitchen, Sitting Room...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu kama kuna mdau ana nyumba full ya kupanga Mwanagati - Dar Es Salaam, iwe ya kujitegemea na Uzio kabisa na Parking yenye nafasi kidogo. Bajeti around 250K -300K. Ahsante kwa mwenye nayo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba ya vyumba 4 inapangishwa ina kila kitu ndani bonyeza hapa. Fully furnished 4 bedrooms house two rooms are ensuite and one master bedroom, and one single room. Kitchen, Sitting Room, Dining...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Rejea kichwa cha habar hapo juu. Chumba sebule choo chake kipo vizur kina tiles bei yake 200,000 kwa mwezi. Pia ipo kubwa vyumba viwili choo chake na sehemu ya jiko. Bei yake 300,000/- kwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa tegeta masaiti,vyumba viwili vya ndani,sebule na dining na servant quarter ya vyumba viwili nje.maji na umeme upo,plus ina faida nyingine ya kukodi hii nyumba kwasababu ina...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna vyumba vinapangishwa Dodoma mjini, self contained, woodern syling board, no tiles but nice floor, water available in doors 24hrs, electricity (10,000/= kwa mwezi), bei 80,000/= kwa mwezi...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Kama unahitaji la kupanga nyumba Arusha mjini kisongo unaweza kuwasiliana na mimi inbox Ina vyumba jumla vitano Ukuta Maelezo mengine kwa wale walio serious njoo inbox
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wadau. Ninapangisha nyumba yangu chumba kimoja na sebule, kama unahitaji ni PM - Kuna Umeme, hakuna maji ya DAWASCO ila hakuna shida ya maji na ni KARIBU na BARABARA. - PM If interested...
0 Reactions
72 Replies
6K Views
WAREHOUSE FOR RENT (KILIMO WAREHOUSE) Location; Yombo vituka area,behind Tazara Railway station,Dar es salaam. 7.7 km from Dar es salaam harbour port 6.6 from Dar es salaam international airport...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwenye Fensi, Maji dawasco, Karibu na Barabara. Kodi laki na nusu kwa Mwezi, Miezi Sita... Wasiliana 0785938675 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Salamu salama... Humu ndani Napangisha nyumba na sebule yake ambayo. Ni master yani Chumba chenye choo ndani na sebule yake pamoja na jiko vyote vipo ndani , ipo maeneo ya mwenge karibu kabisa na...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habarini ndgu nakuja jukwaani nikitafuta chumba kwa makazi kwa watu Wa iringa mliopo mtaa Wa kihesa karibu na barabara kuu ya iringa Dodoma nahitaji chumba kwa ajili ya kuishi bei maelewano ila...
0 Reactions
0 Replies
723 Views
Kichwa cha Habari chatajwa... Natafuta chumba cha Kupanga ambacho kodi yake kwa Mwezi haitazidi 30,000/- maana yake kwa miezi sita ni 180,000/- Kiwe maeneo ya Kibamba hasa hasa Kibamba Chama au...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom