Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Mahali: Kifuru mwanzo mgum jirani na stend mpya ya Mbezi Luis Vyumba bado Vipya ko havina kipengele Vyumba ni viwili yani sebule na chumba Self container kwa kila mpangaji Umeme kila mpangaji...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Wakuu! Nahitaji mwenyeji anayeweza nipangisha chumba katika eneo tajwa. Nikimpata mwenye nyumba itakuwa bora zaidi.
1 Reactions
1 Replies
770 Views
OFFICE SPACE AVAILABLE FOR LETTING (MWALIMU HOUSE) AT ILALA BOMA. Contact 0713 49 56 03
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Apartment ina vyumba viwili, sebule na jiko. Chumba kimoja ni master. Iko kwenye compound ya nyumba 3. Kuna geti na parking. Barabara inapitika. Umeme unajitegemea. Kuna matank ya kutunza...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natumai wote wazima. Apartment nzuri zinazojitegemea (Vyumba 2 vya kulala, Sebule,Jiko,Choo) zinapatikana Kimara na Mbezi/MOROGORO Rd. Pamoja na Nyumba (kubwa) za pekeyake zipo hizo na nyingine...
0 Reactions
2 Replies
723 Views
Nyumba self contained four bedrooms inapangishwa morogoro kihonda kwa chambo jirani kanisa na stendi kuu ya mwendokasi wa SGR. Umeme, fence, maji vipo. Nyumba ina tiles gipsum and aluminum...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ina partitions mbili kubwa Choo ndani Luku yako ipo nje Maji yapo Parking ipo Office ipo ada estate opposite na dar free market pale kwenye maghorofa yaliyokuwa ya nhc, kodi 380,000 kwa mwezi...
0 Reactions
2 Replies
859 Views
Frem inapatikana UBUNGO kituo cha mabibo hostel inatizama barabara ya Mandela Sekunde 10 (kutoka barabarani) ina eneo la kutosha upande wa mbele na pembeni kulingana na eneo husika kuwa na...
0 Reactions
36 Replies
9K Views
Ina fence na geti la kisasa Ina vyumba vitatu (3) kimoja ni Master bedroom Inside public toilet na outside public toilet (choo cha mlinzi) Stoo, Parking kubwa ya paving, Sebule, Dining na Jiko...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
Hii nyumba ni kubwa ina vyumba vitano viwili ni self-contained ( ni vya juu) na vitatu ni vya chini pia ina public toilet ,seating room kubwa, jiko na uwanja mkubwa wa kutosha Nyumba ipo...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa Tegeta Masaiti 1km kutokea Kibo complex na pia 1km kutokea nyuki sokoni. Nyumba ina vyumba 2, sebule, dining, choo na bafu. Nje ina servant house ya vyumba viwili na mabanda...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Husika kichwa cha habari hapo juu nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa kwa Kodi ya shilingi 250,000 kwa mwezi. Public toilet, siting room kubwa, master bedroom 2 kitchen kubwa. Pamoja na colidol...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nyumba nzuri na zina mvuto na mwonekano mzuri wa kupendeza zikiwa na vyumba viwli vya kulala, jiko, sebule na mahala pa kula. Kodi TZS 750,000 kwa mwezi. Kuziona piga simu au whatsapp...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba bora za ghorofani, zinavutia na za kisasa. Nyumba zipo eneo tulivu la mbezi juu, wapangaji wanne wa kwanza watapangishwa katika nyumba ambazo ukiwa sebuleni au katika varanda unatazama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau! kuna Chumba master 100,000/= kinapangishwa Ubungo Riverside Malipo miezi minne (4) #Nyumba INA fence #Maji 24/7 #Usalama wa uhakika. #wapangaji wawili #Luku yako Call/SMS :0620533957
0 Reactions
49 Replies
5K Views
* Nyumba ipo nyuma ya sheli ya Lusana dakika 3 kufika hapo * Vyumba Vitatu, kimoja kina choo ndani(MASTER) * Sebule * Jiko *Tiles, slide window) Umeme upo Maji kuchota kisimani (Kisima kipo 30...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini ndugu zangu.. Ninaomba tuwasiliane mwenye mwenye chumba cha kupanga maeneo ya mikocheni B, Chama au Msasani. Chumba kiwe self (kikiwa na sebule itapendeza) Maji uhakika..budget 150k...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
A free-standing residential or can be used as an office is available for rent. The house has three an suits bedrooms, living room extended to dinning area, guest toilet, close-up kitchen and two...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa Gongo la Mboto Majohe, nyumba Safi ya kisasa, ina vyumba vi 4 na master 1, public toilet, fance ya ukuta. Mahitaji yote muhimu ya Umeme na maji yapo. Kodi kwa mwezi ni 250,000/...
1 Reactions
0 Replies
896 Views
Ni office spacious, kuna partition mbili Kuna choo kimoja ndani Madirisha makubwa Parking nje ipo ya kuweka gari Location ni nyumba za Nhc opposite na Dar free Market Kodi ni laki nne na nusu...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom