Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Rental house with 2 bedrooms, 2 bathrooms, paved compound, ample parking, wall fence, specious compound, located in a cool neighborhood within well developed area with good security in Block 41...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
In Vyumba sita vya kulala Vyumba vitatu ni self contained vikiwemo Master na Chumba special cha wageni Ukumbi/sebule (Living room) Jiko Ukumbi wa kulia (Dining room) Store Sehemu Ya kuogea (Jumla)...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Apartment Inapangishwa Nyumba: 2 ( 1 Self ) Eneo: Kigamboni-Kisiwani Bei: Tshs 350,000 KwaMwezi Muda wa malipo: 6 Miezi Ina vyumba 2 (kimoja ni masta), Sebule, Jiko na choo cha wote. Maji yapo...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
1. Chumba Sebule Choo ndani bila jiko. --Maji dawasco, fensi & Umeme Luku. --Bei Tshs 200,000/Mwezi -- Piga 0675107182 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Chumba na choo chake, Sebule na jiko. Ina tiles, gypsum, maji ndani na fensi ipo. Kodi laki 2 kwa Mwezi, malipo ya miezi 6 yanatakiwa. Karibu 0742141467
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Chumba masta, sebule na jiko. Bei Tshs 180,0000 Kwa Mwezi, Kodi ya miezi 6 inatakiwa. Maji ya dawasa, luku yake, ndani ya fensi. Karibu 0742141467
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Eneo: Skaska( Kituo Kimoja kabla ya Kufika Tegeta) Uelekeo: Umbali wa dakika 7 kwa kutembea Kutoka kituoni Bei: Tshs 200,000 Kwa Mwezi Malipo: Miezi 6 Ina Chumba Kimoja, Sebule, Choo ndani na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ina vyumba viwii vya kulala , choo cha ndani na nje. Ina jiko ,dinning na baraza ya mbele na jikoni. Nyumba inajitegemea mifumo ya maji na umeme. Ipo ndani ya fence,bei ni 250000/= fixed. Ipo...
0 Reactions
0 Replies
925 Views
Chumba kuwe sehemu yenye usalama, Eneo lolote, wilaya yoyote ndani ya Dar, Kodi isizidi elfu 60 kwa mwezi. Kama unacho tuma namba pm Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Nyumba inapatikana ukonga, Mombasa Njia ya lami kuelekea mazizini. (Kutoka stand mpaka kwenye nyumba ni mwedo wa dakika 5) Maelezo. Nyumba ina vyumba viwili (ikiwemo master moja) Sitting room...
2 Reactions
296 Replies
70K Views
WANA JF, no eneo zuri kwa makazi liko juu hakuna hofu ya mafuriko karibu na kituo cha magari yaendayo mjini kiujumla ni mahali salama kwa makazi being 100,000 kwa mwezi mawasiliano 0699 522471...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za leo wanaJF, Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Tabata ama Mabibo/ au Segerea. Chumba kimoja tu. Kikubwa ni mazingira yawe rafiki kwa mtu kuishi. Umeme uwe wa kujitegemea hata kwa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Ipo Kinyerezi Mbuyuni ina vyumba viwili vya kulala, kimoja ni master, jiko, sitting room, ipo ndani ya fensi, maji yapo, kodi ni 250000, karibuni sana, mawasiliano 0782239344
0 Reactions
6 Replies
880 Views
NYUMBA INAPNGISHWA Mahali: Goba center Namba ya vyumba: nyumba ina vyumba vitatu(viwil self contained rooms), jiko, mahali pa kulia chakula na sebule Umbali: Nyumba ipo Mita 500 kutoka barabara ya...
1 Reactions
9 Replies
956 Views
NYUMBA INAPANGISHWA Mahali: Boko kwa mpemba Namba ya vyumba: nyumba ina vyumba viwili (kimoja ni master bedroom), sebule, jiko ndani na nje, Choo cha jumuiya ndani na nje, stoo na mahali pa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta nyumba ya kupanga, Morocco, Upanga, mikocheni , iwe na vyumba viwili au kimoja , jiko na sebule. Budget yangu ni 200,000
2 Reactions
8 Replies
2K Views
NYUMBA INAPANGISHWA Nyumba Ina sebule, jiko, kabati, Choo na chumba kimoja. Mahali: Tegeta kituo cha Namanga karibu na Rabininsia Memorial Hospital. Huduma: Maji, luku binafsi, heater, DSTV na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom