Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Nyumba ya vyumba 3 self contained inapangishwa Kisota-Kigamboni barabaraya Damian do Amsi. Nyumba imeungana na nyingine 3 ambazo zinatumia geti moja, kila moja ina mita yake ya luku ila maji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mahali: Mbezibeach Tangibovu Bei: Tshs 150,000 Kwa Mwezi Malipo: Miezi 6. N.B: Malipo ya Mwezi mmoja kwa dalali ( 150000 ) Mawasiliano: 0686 648630 Chumba choo ndani na Sebule. Choo cha nje Kipo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Chumba kinapangishwa kigamboni daraja la nyerere kodi elfu 60 mkataba miez 6 main road mpk kilipo ni mita chache sana Umeme matumizi yako na bill ya maji 3000 kwa mwez Haina udalali muhusika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna nyumba 3 znapangishwa karibu na mliman city. 1. Nyumba kubwa yenye room3 jiko na public toilet na sebule kubwa hii ni tsh 300,000/= kwa mwezi nahitaji kodi ya miez 6. 2. Nyumba yenye vyumba...
1 Reactions
6 Replies
898 Views
LOCATION-MBEYA MJINI(forest mpya) Bei-200000/= per month nyumba ina vyumba vitatu,ipo complete kila unachokijuwa wewe kipo . mawasiliano:0747175984 muonekano wa inje huo hapo.
3 Reactions
4 Replies
924 Views
NYUMBA inapatikana KITUNDA, nyantira Km 3.5 kutoka nyerere road (old pugu) Nyumba INA chumba kimoja (self), sebule na jiko. Ina tiles, gypsums na slides windows. Maji+Umeme (24/7) Iko ndani ya...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kuna chumba cha kinapangishwa maeneo ya makongo karibu na chuo cha Ardhi,kizuri kwa wanafunzi wa vyuo Kodi ya mwezi ni kama 50,000/= tu hakina udalali kwa wanafunzi wa vyuo kama Ardhi,Udsm,Ubungo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Apartment zinapatikana KITUNDA. Zipo apartment NNE ndani ya compound. Apartment no. 1 Ina vyumba viwili (self-contained moja), jiko, sebule, store na public toilet. Kodi kwa mwezi tzs 200,000/...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Chumba Choo ndani (Masta) na Sebule. Maji ya dawasa/bomba, Umeme luku watatu. Mahali: Mbezibeach Makonde Kodi ya Mwezi: Tshs 100,000 Maelezo Zaidi: 0716442950
0 Reactions
66 Replies
8K Views
Nyumba inapangishwa kigamboni kwa sh. 300,000 karibu na petrosheni eneo la kwa msomali. Ina vyumba viwili vyote self contained, sebule, dinning room, choo Cha nje, jiko, umeme, maji, fensi pamoja...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Nahama kwenye hili jiji la Mwanza Hivyo nitakuachia kila kitu cha ndani kwangu nilipokuwa nimepanga.... nyumba ina vyumba viwili Master moja na kawaida moja pia public toilet, ina jiko, sitting...
17 Reactions
87 Replies
10K Views
Chumba kipo karibia na daraja la nyerere kigamboni kata ya vijibweni nyuma ya taifa gase kodi miezi 6 kwa mwez ni 60,000 tu Haina udalali 0620149421
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Chumba cha kupanga kinahitajika Tanga mjini, kiwe na maji na umeme, karibu na public transport, kikiwa self contained itapendeza zaidi Karibu dm na maelezo yote ikiwezekana na picha kabisa
0 Reactions
3 Replies
962 Views
Nyumba inapangishwa 150,000 sebule kubwa chumba na choo ndani kodi miezi 6 ndani ya uzio ipo kigamboni mikadi kutoka main road mpk nyumba ilipo ni meter 70 ipo pembezoni mwa beach ya mikadi
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nyumba (apartment) nzuri sana inapangishwa. Nyumba iko maeneo ya Kimara Korogwe, umbali 2kms kutoka Morogoro road, na sifa zifuatazo: Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni masterbedroom) Sebule kubwa...
0 Reactions
1 Replies
825 Views
3Bedrooms House Plot Size - 600sqm Price - Tshs 200 Milioni Document - Titledeed Mahali - Mbezibeach, Kwazena Lovely 3bedrooms house built on plot size of 600sqm size founded in a good...
3 Reactions
74 Replies
12K Views
Nyumba inapangishwa KIMARA - KOROGWE Umbali Mita 200 kutoka Morogoro Road (kituo cha mwendokasi) Ina- SEBULE, JIKO, CHOO, VYUMBA VIWILI VYAKULALA ( kimoja masta) Parking ya gari ipo ndanya fence...
1 Reactions
1 Replies
809 Views
Nyumba inaunzwa eneo Kimara Bonyokwa Bei milioni hamsini na tano 55,000,000/= Mawasiliano piga sim 0713660178
0 Reactions
0 Replies
904 Views
Frem,mabanda na eneo lipo ndan ya uzio Linapangishwa Frem mbili Eneo ndani ya uzio Mabanda yapo ndan ya uzio Unaweza fanya biashara Unayotaka wewe Lipo bagamoyo zinga kwa mtoro Lipo jirani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mahali: Mbezi Beach Makonde, Kodi ya Mwezi: Tshs 120,000 Malipo ya Miezi: 3 au 6 Ipo karibu sana na kituo cha daladala, dakika moja upo kituoni. Maji ya bomba/dawasa masaa 24, Uzio na geti...
0 Reactions
44 Replies
3K Views
Back
Top Bottom