Mdudubitehunter
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 309
- 538
Hahahaaa, mkuu naona jamaa anawatafutaKama sio ban leo ungechakaa unataka tukupatie kidhibiti mwendo[emoji1768]? funguka tu sio hizi blah blah..
Fanya mambo yako aisee mambo ya wachaga tuachie sisi wenyewe Cumer ww.
amekopy comment ya watu huko, hajui hata analosimamia!title umetaja na wakinga,ila uzi mzima ni kushambulia wachagga tu..[emoji38]
Hizi chuki huenda ametoka nazo mbali sio kawaida hii.
View attachment 2391251
Na mbaya zaidi umaskini wa akili hukufanya usifanye juhudi yoyote kwenye kujiendeleza, unabaki kuishi kwa matumaini kuwa ''kuna siku wale waliokuzidi watakuja kuporomoka ili muwe maskini wote''. Muda wote unakuwa unautumia kusengenya wenye uwezo na kuomba dua mbaya ili wafilisike.Hakuna kitu kibaya kama umaskini wa akili.. Being a great sinker! Medulla kwashiorkor!
Kwa hiyo utajiri ni biashara kariakoo hapo tu? Acheni kujidanganya! Nchii hii ni kubwa sana!Mwenye macho haambiwi tazama
Kwa makabila ya Tanzania ngozi nyeusi matajiri wengi ni wakinga na wachaga
Makabila mengine yote hayana matajiri wengi kama wachaga na wakinga
Huo ndio ukweli mleta mada ukubali tukatae
Utajiri haujifichi hakuna utajiri.wa kimya kimya!!
Wachaga na wakinga wako kila sector sio.kariakoo tu ukienda kwenda usafirishaji wanamiliki.hadi ndege mfano Precision AirKwa hiyo utajiri ni biashara kariakoo hapo tu? Acheni kujidanganya! Nchii hii ni kubwa sana!