2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Kunq makipa wengine wanakariri wanajua mtu akitumia mguu wa kushoto uelekeo wa mpira ni wapi
Makipa wengi wanaruka sana upande wa kushoto
GABOKSI ameruka penalty zote kulia hakuna hata moja aliyoruka kushoto na penalty zote walizofunga Congo wamepigwa kushoto Gaboksi anaruka kulia km mtoto yaan pale alipokosa penalty naona kaenda kulia kwa Mama yake 🥺
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…