2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

IMG_9456.jpeg
 
Kitendo Cha kukosa refa Toka Tanzania pamoja timu taifa inashiriki ni majibu tosha tunasindikiza washindani
Sisi mpira bado sana kwanza hatuna vipaji pia ata wachezaji wetu wakuota hao ukifwatilia historia yao ya makuzi ya kisoka unachoka mara sjui mchezaji alianza na Ndondo mara akenda coast union,afu gafla yupo simba mara huyo timu ya taifa si upuzi huu
 
Back
Top Bottom