Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,262
- 1,956
Sijawahi kubashiri matokeo ya match wakati wote wa mashindano haya ya Afcon, lakini leo match itaishia 90 minutes na mambo yatakuwa hivi;👇
NIGERIA 1:2 COTE D'IVOIRE
Hakuna extral time wala penalt shouts outs.
Hatimaye mambo yametimia.
Poleni kwa Team Nigeria
Hongereni sana Team Cote d'Ivoire kwa kuibuka kidedea kwenye mtanange huu.