750k(take home) ni mshahara unaweza kumfanya mtu aishi kidogo bila wasi hapa Bongo?

Mzee baba umetisha.Umeeleweka sana
 
Mzee baba umetisha.Umeeleweka sana
Zamani nilipooa nikimfundisha mke wangu jinsi ya kubudget pesa! Huwezi kuamini hii 5000 watu wanayoidharau unaweza ukaipangilia na ikatosha kwa siku nzima. Majirani walikuwa wakija walituona ni matajiri kwa jinsi tulivyokuwa tunakula vizuri kumbe budget kwa siku haizidi hata hiyo 5k.

Kikubwa uombe Mungu usipate mke waruwaru! Omba upate mke msikivu ambaye utamuelekeza jambo atakusikiliza,kukushauri na kukutii! Mtafika mbali sana kwenye maisha sio hawa chupi dera kila siku ana michango ya sherehe,vigoma,mabeseni,birthday n.k atakupasua kichwa na utaona kuwa pesa hazikutoshi.
 
Vijana sikilizeni and take it from me, unapoanza maisha hata ukiwa na familia ya watoto watatu, elfu tatu inatosha sana kwa siku.
 
Halafu unakuta hana makeke hawezi kusimanga ambao hawana magari.
Ila ngoja ukutane na hawa wanaomiliki alteza sijui subaru used tena za bongo mamaeeee kipindi cha mvua wanaturushia maji watembea kwa miguu.
Kwanza ana nidhamu achaaa...haha kashifa ana nyuzi za ujinga MMU [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]yaani namheshimu yule bro acha kabisaa sijawahi ona Hata kama kashawahi jikweza ktk nyuzi zake
Ila Hawa makapuku Hawa na kuruka steji Sasa[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]shikamoo
Jf mafogo wengi wako MMU na chitchat kurefresh mind
 
Huo mshahara unaweza kutosha kama unaweza kutenga Bajeti ya matumizi yako kwa kufanya walau hivi;-

Hela ya Kula 10,000@siku 30 =300,000/-

Akiba = 138,000/-

Kodi ya nyumba/mwezi 70,000/-

Nauli 3,000/siku 24 = 72,000/-

Vocha/bundle /mwezi =15,000/-

Bill Umeme/Maji = 25,000/-

Mavazi = 50,000/-

Sadaka siku za Ibada 10,000@ wiki 4=40,000/- (Nimefanya reference ya ibadani kwetu tuna Sadaka zaidi ya 3 kwa siku).

Michango/Harusi/Misiba/Kusaidia Ndugu =20,000/- (Tunaishi kwenye Jamii muhimu ku socialize)

Outing kwaajili ya ku relax na kusocialize na watu na kumwagilia Moyo =20,000/-

NB; Unaweza kufanya maboresho kadri unavyoona inafaa.
 
Hii imekaa poa Sana.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…