Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Wewe umeamua kua nani mkuu??Mkuu humu kuna mafogo hatari.
Uzuri wa humu muosha magari anamtukana boss wake, muuza vitunguu sokoni anavimba kuwa anafanya kazi UN Geneva.
Uamuzi ni wako uwe nani humu.
#fakeituntillyoumakeit#
HahaKuna watu hawa-save hata mia na wanapokea kila mwezi.
Akipokea tu mshahara anaenda bar ya karibu anamwagilia moyo tu. Siku 4 tu mshahara kwisha, akili inarudi mahali pake maisha yanaendelea.
Hiyo ndio monthly routine.
Kuna mtu anasoma ujumbe huu anatabasamu tu anatamani ku-like anajisemea maisha ndio hayahaya.
Kwa shida gani ufe halafu huku nyuma watu wanagombania mali zako!
Bia? Side chick?Unasave vizuri tu, pamoja na vyakula kupanda bei
Familia ya watu 4
Mume, mke, watoto 2
Mchele 90k
Unga 60k
Maharage 20k
Nyama 20k
Umeme 30k
Gesi 50k
Mengineyo 200k
Kodi 150k
Jumla 620
Baki 130k
Hata mwanza pamekaa kinafiki sanaKweli,kwa morogoro,mwanza,mbeya,iringa,katavi,kahama na hata dar hiyo pesa inakusongesha vizuri kabisa,ila ukipita kwenye kimji kama cha arusha usishuke kwenye basi,usile hata mshikaki,utakuwa umeilaani hela yako,itaisha ndani ya siku nne,arusha,moshi,bagamoyo,kinondoni() hivi vi mji vina majini hela
Ni lazima uwe na side chick?Bia? Side chick?
Amesahau zaka na sadakaBia? Side chick?
Bro, mm nakuchukualiaga ww kama role model kwny mafankio. Kwa kazi unayofanya still una appreciate mambo ya kuajiriwa??Kabisa mkuu. Kuna mdada humu japo sio mtu wa kucomment na kuchangia sana ila ukisoma comment zake unaweza kuhisi ni jobless anayetafuta kazi kumbe ni meneja mradi wa NGO moja ya kimataifa inayofanya kazi hapa TZ, na kala shavu kufanya kazi kwenye NGO nyingine kubwa zaidi kuanzia february nje ya TZ lakini hapa hapa Afrika.
Mshahara wake umeshiba karibia na wa mbunge lakini ukimkuta humu huwezi kufikiria.
Humu kuna watu wa kada mbalimbali lakini sote tunajimwambafy.
Wewe dada ukipita hapa nakusalimu kwa herufi kubwa.
mpwayungu villageYule jamaa wa walimu hajaona hii mada bado[emoji2]
Ndio nini take homeWakuu nilikuwa nauliza tu kama 750k ni takehome inayoweza kumfanya mtu aishi kidogo standard life.
Maana isikute nadharau kumbe naweza kufanya kitu.
Unajua nini, hata ukipata laki kwa mweiz utaishii tu. Matumizi yanategemea na kipato. Hapo utakuta una matumizi mengi yasiyo ya lazima..kwa mfano watu wamekuomba vocha, msiba umetokea umechanga 50,000 wakati wengine wanachanga 5000...unatembelea gari wakati wengine ni daladala...so kila mtu anaishi kwa urefu wa kamba yake.Mkuu nikiandika ukweli hapa nitaonekana najisifu lakini ukweli hio 1.5 nusu mwezi labda.
Safi sanaKuna watu hawa-save hata mia na wanapokea kila mwezi.
Akipokea tu mshahara anaenda bar ya karibu anamwagilia moyo tu. Siku 4 tu mshahara kwisha, akili inarudi mahali pake maisha yanaendelea.
Hiyo ndio monthly routine.
Kuna mtu anasoma ujumbe huu anatabasamu tu anatamani ku-like anajisemea maisha ndio hayahaya.
Kwa shida gani ufe halafu huku nyuma watu wanagombania mali zako!
My current job mkuu maana mwaka juzi nmekataa ajira yenye kukaribia huo mshahara.Bro, mm nakuchukualiaga ww kama role model kwny mafankio. Kwa kazi unayofanya still una appreciate mambo ya kuajiriwa??
If u were given a chance to choose btn ur current job na kuajiriwa(ajira yenye salary kuanzia 1million), utachagua kipi?
Mavazi usiweke kwenye ziada chifu ni moja ya yale mahitaji 3 muhimu ya binadamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila haya maishaaa unaweza lipwa hata 1.5 mil lakini bado ukashangaa pesa hujuii inaenda wapi hasa ukiwa na familiaa **** Hela ya budget na hela nje ya budget hizo ndo hatarii yaniii. So kutosha au kuto kutosha inategemeana na bajeti yako hasa kwenye matumizi ambayo yanakuwa nje ya Bajeti hapo ndo patamu kama Kuhongaa..kusaidia ndugu...kuchangia sherehe.. kununua mavazi na kutumia kwenye starehe hapo ndo wengi huwa tunapoteza helaa na wala sio kwenye chakula sijui..kodi wala umeme.
Kuweka akiba ni muhimu Mkuu π€ͺππππ aloooo
Yan kwamba tunakula hadi akiba
Somo takenKuweka akiba ni muhimu Mkuu π€ͺ
Nchi yenyewe inaweka akiba ya Fedha za Kigeni, Chakula n.k sembuse sie akina hoehae
Ndo kila mwezi upo dukani mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani usione kiatu kimeletwa mbele yako tayari ushaingia mfukoni wew hujiulizi why matajiri unakuta ana raba moja na jinsi flani mwanzo mwishooMavazi usiweke kwenye ziada chifu ni moja ya yale mahitaji 3 muhimu ya binadamu
Chakula, malazi na mavazi
Juzi hapa nilikuwa nakula mia SITA na mambo POA kabisa,SEMA silipi Kodi.Wakuu nilikuwa nauliza tu kama 750k ni takehome inayoweza kumfanya mtu aishi kidogo standard life.
Maana isikute nadharau kumbe naweza kufanya kitu.
Basic ya mwalimu wa degree anayeanza ni kama 760,000 TSH.Take home baada ya makato so chini ya 600,000.hapo take home si 400k tu hivi?..aisee