Afghanistan: Talibani imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Marufuku mwanamke kuongea na mwanamke mwenzie

Afghanistan: Talibani imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Marufuku mwanamke kuongea na mwanamke mwenzie

Ila kobazi majinga kweli sasa kama hajaolewa hatakuwa anaongea na nani?? Si mdomo utanuka sana..........kumfanya mtu asiongee kama yuko jera.....wakati yuko huru.............hapa bora marekani asingeondoka ...........bora angebaki awe anawabandua tu hawa mahustazati wa kiafghani
Huyu jamaa unamfahamu? katinga nini miguuni hapa:
 

Attachments

  • 1730052082195.png
    1730052082195.png
    137 KB · Views: 6
Serikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.

Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.

Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.


View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19

Hizi ndio Rehema za Allah eti ndio mafunzo yanavyosema hakuna kuongea na mwanamke mwenzako au haya mafunzo/Maelekezo ni batili..... FaizaFoxy ....
 
H
Serikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.

Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.

Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.


View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19

Hiyo sheria nzuri ilimfaa huyu kafiri wa kiisiharamu FaizaFoxy
 
Hao talibani kuna mambo wanafanya ambayo sio katika sheria za kiislamu kabisa au kinyume na uislamu,kama mtu anauona uislamu kupitia talibani hakika hatapata uislamu sahihi,hao asilimia kubwa mambo yao kama wanaharakati

Uislamu haujakataza wanawake kuongea na wanawake wenzao na wala si sunna ya Mtume wala maagizo ya Allah. Wake za Mtume tu walikuwa wanaongea na wanaume nyuma ya pazia katika kuwaelekeza mambo fulani fulani ya dini,kama hiyo haikuruhusiwa je ilikuwaje wakeze wakafanya hivyo?

Kuhusu wanaume kunyoa nywele au ndefu wanaruhusiwa sana,ila si katika uislamu sijui kunyoa kiduku na stahili za ajabu ajabu,kama unaondoa nywele zote basi ondoa na kama unanyoa kawaida basi nyoa kwa heshima

Kuhusu kufuga ndevu hiyo ni sunna sio lazima kwa wanaume kufuga ndevu,ingawa ni bora kufuata sunna ya Mtume,binafsi nanyoa ndefu,sio agizo la lazima la dini

Kuhusu wanawake kwenda saluni,wanawake wanatakiwa kujipamba kwa ajili ya waume zao,wapendeze na wanoge,ila naona kuna namna labda hizo saluni zimeonekana ni sehemu ambazo kuna ajenda nyingine zinafanyika

Kuhusu wanawake kuongea kwenye redio au television,kwa mfano katika tv yapaswa mwanamke ajistiri anapokuwa hewani na si kuwa uchi kwa mujibu wa uislamu,kuhusu kuongea kwenye redio,hiyo hata huku Tanzania kuna redio moja Redio imani nayo kipindi fulani fulani walikataza lakini wakapewa hoja mbona wake za Mtume Muhammad (s.a.w) walikuwa wanaongea na wanaume nyuma ya pazia,kwahiyo hapo hoja nzito ilipatikana

Kwahiyo si kila linalo fanywa na hivi vikundi vyenye misimamo mikali ni uislamu bali mengine ni taratibu zao binafsi

Asante
Kwa Nini hao wake wa Mtume wongee nyuma ya pazia !?? Si waongee tu ana Kwa ana na hao wanaume kama sio tatizo!??
 
Serikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.

Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.

Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.


View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19

Weka Tangazo la Taliban na sii la huyo khan
 
Kwa Nini hao wake wa Mtume wongee nyuma ya pazia !?? Si waongee tu ana Kwa ana na hao wanaume kama sio tatizo!??
Wakeze Mtume Muhammada (s.a.w) ni mama zetu kwa waumini wote wa kiislamu

Huenda kwa heshima hiyo wakafanya hayo waliyofanya,huenda kuna sababu nyingine iliyopelekea hayo
 
Wakeze Mtume Muhammada (s.a.w) ni mama zetu kwa waumini wote wa kiislamu

Huenda kwa heshima hiyo wakafanya hayo waliyofanya,huenda kuna sababu nyingine iliyopelekea hayo
Kwa nini utumie lugha za kudhani...na kitabu mnasema kinajitosheleza !?? Hivyo Quran haina sababu Kwa nini walikuwa wanaongea nyuma ya pazia!?? Quran wanayotumia Taleban ni hiihii au kuna nyingine isemayo mwanamke hatakiwi kuongea na mwanamke mwenzake zaidi ya Mume!??
 
Awa wahuni watapigwa tu wasubiri Trump arudi
Serikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.

Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.

Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.


View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19%5B/

View:
 
Huyu jamaa unamfahamu? katinga nini miguuni hapa:
Ukimfahamu wewe inatosha............lile jiwe la kimondo pale makkah vipi unalifahamu.......maana kuna kobazi pia na fimbo mle sasa sijui vina maana gani?? Dini ya kulazimishwa mara usiongee mara ujizibe mwili mzima hata kama unasikia joto ila ninyi bana.......kule maka wenyewe na vimini wanatinga lakini ninyi ooh untanitoa udhu .......hapo upo kwenye dala dala umeshika bomba...........na kuna wale wengine wewe kukojoa kama punda chuchumaa .........mpumbavu nini kwangu anayechuchumaa ni wa kike tu ..........choo cha kulipia masharti kibao wakati ulipopanga choo kiko dirisha la jirani kalibia mtaa wa pili sasa sijui pia huko huwa mnaweka masharti pia 😄 😀 😊
 
Serikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.

Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.

Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.


View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19

Safi kabisa.Umbea ukome.
 
Ukimfahamu wewe inatosha............lile jiwe la kimondo pale makkah vipi unalifahamu.......maana kuna kobazi pia na fimbo mle sasa sijui vina maana gani?? Dini ya kulazimishwa mara usiongee mara ujizibe mwili mzima hata kama unasikia joto ila ninyi bana.......kule maka wenyewe na vimini wanatinga lakini ninyi ooh untanitoa udhu .......hapo upo kwenye dala dala umeshika bomba...........na kuna wale wengine wewe kukojoa kama punda chuchumaa .........mpumbavu nini kwangu anayechuchumaa ni wa kike tu ..........choo cha kulipia masharti kibao wakati ulipopanga choo kiko dirisha la jirani kalibia mtaa wa pili sasa sijui pia huko huwa mnaweka masharti pia 😄 😀 😊
Hilo lisikupe haka, siyo za jamaa huyo kwenye picha?
 
Back
Top Bottom