Afunga ndoa na wanawake watatu kwa mkupuo. Jamaa atafaidi sana

Afunga ndoa na wanawake watatu kwa mkupuo. Jamaa atafaidi sana

Wakati wa kuwanyandua kwa pamoja itabidi aongeze nguvu za ziada kuweza kuwapiga magoli sawa wote watatu. Vinginevyo alale na moja leo, mwingine kesho na mtondogoo mwingine. Kupeleka moto kwa wote watatu wakati mmoja ni shughuli pevu
 
ATHUMANI Yengayenga (35), mkazi wa Shanwe Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, amewashangaza watu wengi kwa kuamua kufunga ndoa na wanawake watatu kwa siku moja huku akidai lengo lake lilikua ni kufunga ndoa na wanawake wanne kwa siku hiyo.

Four some,, mwamba kama mwamba,,😀😀 Leo italala humo humo kama kisu kwenye ala😆
 
Screenshot_20230711-021324_(1).png
 
Huyu Hana mwendo na mda si mrefu vijana wataanza kumsaidia Nina uhakika Hana ubavu wa kuwatosheleza ki mahitaji na kuwarizisha kwenye kitanda hizo ni mbwembwe tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kweli Uislamu dini SAFI SANA..
UISLAMU OYEEEE 💪✊👊🤟🙌
 
Atafaidi nini sasa? Mwisho wa siku yote ni ubatili,hapo utoto ndo unakusumbua hakuna jipya zaidi ya stress
 
Dini inaruhusu
mama D inashabikia huu upuuzi, halafu kesho unasimama kwenye jukwaa unadai equal gender opportunities and rights . Huu ni unyanyasaji na udhalilishaji wa kijinsia wa Hali ya juu. Hao wanawake wamekubali kwa sababu ya umaskini wa Mali na fikra. Unadhani wangetoka familia za kiislamu haswa na za kisomi na wazazi wanaojielewa wangekubali huu udhalilishaji..
Kila mwanamke anahitaji kua na mume mmoja tu.
 
Back
Top Bottom