Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Kweli aiseeHata mwigulu nae hapo kasahaulika nisaidie kumu add kwenye hiyo list
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli aiseeHata mwigulu nae hapo kasahaulika nisaidie kumu add kwenye hiyo list
Bora usijue yanayoendelea nchini ili usiumize kichwa, mechi naitizama naendelea vzr hakuna tatizo lililotokea.Mechi imeahirishwa ama vipi?
hata kugegedana hatujui, yaani sisi sekta zote tuna ujinga mtupuTanzania ka nchi sehemu ambayo tuko vizuri ni kugegedana tu basi
Fact [emoji3578]Inabidi watu watumbuliwe tu aisee
Pesa za kuandikiwa tu [emoji16]Itakuta Kuna mijitu imekuwa ukipiga hela ya maintenance na hakuna kitu watafanywa.
Hapana sheria ya mpira haisemi hivyo. Pambano lingeahirishwa na kupangiwa kumalizia dakika zilizosalia mahala pengine na siku nyingineDakika 10 zikipita umeme haujakaa vizuri, yanga anapokonywa ushindi na Rivers atapewa ushindi
[emoji2][emoji2][emoji2]kazi kwerikweri in jiwes voicehata kugegedana hatujui, yaani sisi sekta zote tuna ujinga mtupu