Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
Meneja wa hovyo ajiuzuru kabla hajatia aibu zaidi.....
Haraka sana, la sivyo soon atapigwa na kinyesi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meneja wa hovyo ajiuzuru kabla hajatia aibu zaidi.....
Tunamkumbuka Kwa MazuriR.i.p magu
Kwa hiyo mpira sio mambo? Mnataka vijana wote wawe waimba bongo fleva , bongo movie sio? Hovyo sana
[emoji2][emoji2] ndio sector tunayoiweza vizuri 100%bila shaka umeongea kutokana na experience yako
Wanasema mechi imekuwa suspended !Dakika 10 zikipita umeme haujakaa vizuri, yanga anapokonywa ushindi na Rivers atapewa ushindi
Sanaaa tupewe tuzo ya heshima hapo.Tanzania ka nchi sehemu ambayo tuko vizuri ni kugegedana tu basi
Inabidi watu watumbuliwe tu aisee
For sure imagine Kuna watu wanalipwa Kwa ajili ya uwanja ila hawatimizi wajibu na hawajisikii vibaya hata kidogoSanaaa tupewe tuzo ya heshima hapo.