Aibu kubwa kwa Taifa taa za uwanja wa Benjamini Mkapa kuzimika mechi ikiwa inaendelea
Kuna watu wanadhani changamoto za nchi hii zitaisha kwa kufukuza watu kazi. Kwa hiyo magu aliifanya hii nchi pepo ndogo au? Kwa hiyo nchi ilikuwa haina tatizo lolote kisa watu walitumbuliwa?
Mnaacha kutafuta mzizi wa tatizo mnajikita kutaka watu wapigwe chini
Wewe ni chizi fresh
 
Issue siyo upungufu wa nishati. Ni technical faults za mfumo wa umeme uwanjani.
Kaangalieni vizuri mfumo maana inasemekana Backup ya umeme wa Uwanja Kipara kaiweka kwa Barbra.
 
Kwa mjibu wa sheria za CAF! Zikipita dakika 10 bila umeme kutengamaa, basi yanga ataaga mashindano hayo leo!

Hii ni mara ya pili baada ya ile mechi ya Taifa stars na Uganda, shida ni nini?

Tukienda tu kwa kubembelezana kama ilivyo kwa Waziri wa Nishati! Iko siku tutapata bonge la Aibu zaidi ya hili la umeme kuwa mdogo kwenye uwanja wa Mkapa mechi ya kimataifa inayohusisha Timu za Tanga na Rivers!

Halafu sijui ni kwa nini huwa inakuwa hivi!

Kila mtu aliyewahi kulalamikiwa sana na wananchi kwenye tawala hizi, mtu huyo huja kuwa sababu ya serikali kufeli vibaya na kuwa ya hovyo hovyo tu

Nchi nzima kwani imekosa watu makini hadi iwe yuleyule tu aliyefeli hata kabla ya kuanza?

Hivi majuzi kwenye ziara ya Rais kabisa kule Arusha! Umeme ulikatika mbele yake na bado mh Januar Makamba bado aliendelea kuwa waziri

Mfano

Makonda!

Nikujulishe tu, pale umeme wa Tanesco hauhusiki!
Kanuni za Fifa zinataka jenereta litumike kwa kutambua changamoto za umeme wa maji!
Pale meneja anatakiwa aliwe kichwa haraka, wanashindwaje kuwa na standby generator za kutosha…!?? Kazi ni kugawana % za mapato tu na kujisifu bar!!!
 
Kilichotokea kinaangukia kwenye Management ya uwanja.Umeme haukukatika bali mifumo ya taa ilizingua hapo huwezi mlaumu waziri ni Management ya uwanja ndio inapaswa kuwajibika.Ila Tanesco nao watupe mrejesho je hawalipwi kwa ajili kuweka mifumo sawa.
 
Mfumo wa Umeme uwanjani leo hii ulikuwepo sehemu Ngapi Tanzania ? Sehemu Kibao leo mchana kutwa kulikuwa hakuna Umeme; Kwahio pamoja na hao wazembe Uwanjani kuna Kinara wa Uzembe hapo Juu katika Wizara ya Nishati
Tuvumilieni Ndugu Watanzania tupo kwenye Mpango wa kufumua Gridi yote ya Taifa kwasababu tumegundua awamu ya tano walikuwa hawafanyi maintenance!
 
  • Thanks
Reactions: nao
Kwa hiyo zimewekwa taa mpya uwanja mzima kwa hizo dakika umeme ulipokatika?
Unajua maana ya hitilafu? Tusibishane tu kumbe hatuongei lugha moja.
Baadhi ya taa zilizima na nyingine zinawaka hivyo mwanga ukapungua uwanjani sasa kama huko porini kwenu ulipotoka ikitokea hali kama hiyo ndo mnasema umeme umekatika basi sawa.
 
Binafsi sitaki kuinganisha hii na magufuli ILA ukumbuke taa zilizimika match kubwa iliyopita,
Kulikuwa na haja kwa taa kuzimika tena uwanja mkuu wa Taifa kwa match kubwa watu wasiwajibike??? unajua hii ni kuharibia Nchi reputation? madhara yake ni makubwa sana
Huu ni uzembe wa hali ya juu na unawezakuta watu wamejiandikia mamilioni ya pesa kuwa walitengeneza...
Uko sawa
 
Kilichotokea kinaangukia kwenye Management ya uwanja.Umeme haukukatika bali mifumo ya taa ilizingua hapo huwezi mlaumu waziri ni Management ya uwanja ndio inapaswa kuwajibika.Ila Tanesco nao watupe mrejesho je hawalipwi kwa ajili kuweka mifumo sawa.
Watu walishaaminishwa na awamu iliyopita kutumbua tu.
 
Unajua maana ya hitilafu? Tusibishane tu kumbe hatuongei lugha moja.
Baadhi ya taa zilizima na nyingine zinawaka hivyo mwanga ukapungua uwanjani sasa kama huko porini kwenu ulipotoka ikitokea hali kama hiyo ndo mnasema umeme umekatika basi sawa.
Acheni uzembe na hujuma kwa Rais wetu
 
Matendo ya hovyo yanayoendelea nchini ni dalili kuwa hii nchi inaongozwa na watu wasiostahili. Haiwezekani taa za uwanja wa taifa zinapata hitilafu kwa mara ya pili ndani ya miezi 3. Uongozi sio kuahidi mamilioni baada ya ushindi huku miundombinu haisimamiwi ipasavyo.
Sasa unataka yeye ndiyo akaondoe hizo taa mbovu hapo uwanjani?
 
Back
Top Bottom