Hizi chuki za ajabu sana, Sasa Nape na Makamba wanahusikaje na Uwanja?
Kwasababu Magufuli Mungu mtu kawakataa basi kila rais awakatae upuuzi mtupu hii ni awamu ya sita hawajafahamu hawa Ngosha....watoke huko usukumani msituni waje wapate vibaruwa kwenye daraja la Dar Zanziber.
 
Awamu zote zilizowahi ongozwa na wazanzibar huku tanganyika zilikuwa za hovyo. Hapo mpaka atoke madarakani taifa litakuwa ICU.
Poor you!!! Adhabu na mateso aliowafanyia watanzania Nyerere unataka fananisha na Mwinyi??? Watu kufulia majani ya Mipapai Sukari robo kwa kila family wacha kututia hasira Mungu apishe Mbali...Wazanzibar wanaroho nzuri sio kama Hao makatili Nyerere na Magufuli. Ungeijuwa TV wewe kama si Mwinyi ungevaa viatu wewe kama si Mwinyi nchi nzima watu kuvaa Mipila ya gari kama viatu Suruali viraka wewe ilikuwa poa?? No wonder kwanini Kenyatta alimwambia Nyerere anaongoza Maiti.
 
Kwani haoni yanayoendelea ukitaka kujua kiongozi asiefit kwenye nafasi viigezo ni hivi vya kujidai hajui wakati anajua kila kinachoendelea na kapiga kimya
We mpumbafu mwinyi kakuta babu zenu wanavaa suluali za viraka , tv hakuna watu wanaishi Kama misukule .
 
Sasa nape na lile bichwa kama box unadhani kuna kitu mle sema ndo hivyo anafanana na kiongozi wake mkuu
 
Mkuu achana na huyu taahira.
 
Mwaka juzi old Trafford umeme ulikatika
Mechi Kati ya Manchester United vs Brighton
Kombe la dunia Qatar umeme ulikatika
Mechi Kati ya mexico vs Saudi Arabia
 
Makamba makamba makamba kama unakata umeme mara mbili kwenye mechi kubwa ,vipi huko Maswa watakuwa na hali gani?
 
Mnamuonea mama kwani nani aliwatuma mcheze usiku? Acheni vihere here
 
Wahuni ni wale waliojaribu kuzima vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya Kijamii.. hadi tukakimbilia Ukimbizini.. jamii forum ya Kenya... leo unapata Uhuru wa Kupost.. upuuzi... humu... shwaini.....
 
Mtoto wa pwan m'bebeshe kapu gunia unataka kuuwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…