Halafu Samia afike sehemu aache kukenulia watu meno tu wakinaJanuary wanatakiwa kufukuzwa kazi Hawa!!!
Haya ndio mambo yanawafanya watu wamkumbke Jiwe na kuonesha kuwa tuna OMBWE la uongozi!! Enzi za Jiwe mtu angekwisha rudi kwao Lushoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu Samia afike sehemu aache kukenulia watu meno tu wakinaJanuary wanatakiwa kufukuzwa kazi Hawa!!!
Kwani sio wabovu????
Pengine kuna special team inafanya kazi maalumu kuharibu kazi za huyu ndugu na wanaharibu kwenye public scenario ili UMMA uchukie it could be so!Waziri unamuonea tu. Siku ya tatu tangu ateuliwe kulikuwa na mechi baina ya Tanzania na Uganda umeme ukazima.
Aliyefeli ni mama Samia na serikali yake nzima. Ulitaka waziri ndiyo akarekebishe taa na familia yake??
Kwani nani kamtaja mwinyi? We nyoko Umeelewa point yangu au firigisi inakuwasha tuikune usikurupuke soma elewa huwezi uliza usishoboke sana utapakuliwa uje ulete lawamaWe mpumbafu mwinyi kakuta babu zenu wanavaa suluali za viraka , tv hakuna watu wanaishi Kama misukule .
Hakika anastahili pongezi???Naomba niwakumbushe kwamba Yanga imeingia nusu fainali.
Haya endeleeni na mjadala
Kwani tatizo ni umeme pale mkuu siyo meneja wa uwanja.Pengine kuna special team inafanya kazi maalumu kuharibu kazi za huyu ndugu na wanaharibu kwenye public scenario ili UMMA uchukie it could be so!
Chezeni mchanaNashangaa sana katika hili taifa mwanzo walisema Kuna mtu/kibaka alifanya hujuma akakamatwa Sasa leo Tena ni Nini?
Halafu tunaomba kuandaa afcon kwa hali hii tutakubaliwa kuandaa mashindano ya afcon??
Ni aibu kubwa kwa KWELI/tunaaibika kimataifa.
---
Na ndiyo bingwa wako???Kwani sio wabovu????
Kiufupi timu zote zinazoshiriki kombe la luza ni mbovumbovu....maana hawa wàlioingia nusu leo nimetoka kuwagonga 2 kavu juzi tu
Nimecheka kwa sauti aisee[emoji23]Ipo siku tutawasha vibatari pale lupaso
Mbona hasira sana mkuuuWahuni ni wale waliojaribu kuzima vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya Kijamii.. hadi tukakimbilia Ukimbizini.. jamii forum ya Kenya... leo unapata Uhuru wa Kupost.. upuuzi... humu... shwaini.....
In Nikki mbishi's voice [emoji123]Hatunywi sumu hatujinyongiiiii
Acha waisome nambaaa eeehhhh
Nini point yako mkuu.Mwaka juzi old Trafford umeme ulikatika
Mechi Kati ya Manchester United vs Brighton
Kombe la dunia Qatar umeme ulikatika
Mechi Kati ya mexico vs Saudi Arabia
Na hili nalo litapita !! Jamaa fulani alikuwa anasemaga hivyo !!AKITUMBULIWA MTU NITAG NIMEKAA PALE
Mwenyewe kaondoka stand-by genereta hamuna !!Lupaso
Mbona tayari watendaji wamewajibishwa huko.AKITUMBULIWA MTU NITAG NIMEKAA PALE
Tatizo ni kidogo Ila ungekua mkubwa wangecheza pale.Kiwanja cha Azam Complex hakiwezi kutumika?
Yaani iko hivyo duniani kote 😅 na inaweza kutokea tena kokote kule 😅🙏
Dakika 5 tu baada ya umeme kukata akakanusha kuwa Tanesco hawahusiki as if hii nchi inaendeshwa na majenereta amesahau kuwa whichever the way power backup inatakiwa...Tanesco hawawezi kukwepa kwenye hili!wakinaJanuary wanatakiwa kufukuzwa kazi Hawa!!!