Aibu kubwa kwa Taifa taa za uwanja wa Benjamini Mkapa kuzimika mechi ikiwa inaendelea
Halafu Samia afike sehemu aache kukenulia watu meno tu wakinaJanuary wanatakiwa kufukuzwa kazi Hawa!!!

Haya ndio mambo yanawafanya watu wamkumbke Jiwe na kuonesha kuwa tuna OMBWE la uongozi!! Enzi za Jiwe mtu angekwisha rudi kwao Lushoto.
 
Waziri unamuonea tu. Siku ya tatu tangu ateuliwe kulikuwa na mechi baina ya Tanzania na Uganda umeme ukazima.

Aliyefeli ni mama Samia na serikali yake nzima. Ulitaka waziri ndiyo akarekebishe taa na familia yake??
Pengine kuna special team inafanya kazi maalumu kuharibu kazi za huyu ndugu na wanaharibu kwenye public scenario ili UMMA uchukie it could be so!
 
We mpumbafu mwinyi kakuta babu zenu wanavaa suluali za viraka , tv hakuna watu wanaishi Kama misukule .
Kwani nani kamtaja mwinyi? We nyoko Umeelewa point yangu au firigisi inakuwasha tuikune usikurupuke soma elewa huwezi uliza usishoboke sana utapakuliwa uje ulete lawama
 
Nashangaa sana katika hili taifa mwanzo walisema Kuna mtu/kibaka alifanya hujuma akakamatwa Sasa leo Tena ni Nini?

Halafu tunaomba kuandaa afcon kwa hali hii tutakubaliwa kuandaa mashindano ya afcon??

Ni aibu kubwa kwa KWELI/tunaaibika kimataifa.

---
Chezeni mchana
 
wakinaJanuary wanatakiwa kufukuzwa kazi Hawa!!!
Dakika 5 tu baada ya umeme kukata akakanusha kuwa Tanesco hawahusiki as if hii nchi inaendeshwa na majenereta amesahau kuwa whichever the way power backup inatakiwa...Tanesco hawawezi kukwepa kwenye hili!
 
Kigogo mmoja amemuomba msamaha Waziiri wa zamani wa Nishati mh Kalemani na kusema Wakati Ule anamshambulia hakujua kuwa alikuwa anafanya Kazi kubwa sana

Kigogo huyo kupitia ukurasa wake wa twitter amesema anaomba radhi sana kwa mbunge huyo wa Chato na kwa Mungu wa mbinguni

Nawatakia Mei dei yenye Furaha!
 
Back
Top Bottom