Aibu kubwa kwa Taifa taa za uwanja wa Benjamini Mkapa kuzimika mechi ikiwa inaendelea
Magufuli hakupenda ujinga kama huu wa uwanja wa taifa lakini ukali wake ulipitiliza na akashindwa kuweka mipaka ya hukumu alizotoa kwa wakosaji.

Kibaya kingine JPM alikuwa anafurahi anapoona mtu au kundi la watu wanapitia hali ngumu ya kimaisha. Aliyafurahia mateso ya wakosaji wake kama vile sio rais wa nchi, kama sio rais wa wote milioni 60. JPM alipenda kuona sadism na urais wake ulifurahisha wengi lakini ulimuuza wachache.
Hivi haswa ndivo alivokuwa Magufuli na ndio maada aliwapata wafuasi wengi Waafrika wengi huchukia mafanikio ya wenziwao Magufuli alishika bendera kwenye hili.
 
Hapa inatakiwa timu nzima ya uwanja wa Taifa ifukuzwe, hata TFF pia wawabishwe na Waziri pia atupishe maana tatizo Leo mara ya pili hii haikubaliki. Watu stupid wanapewaje kutunza uwanja wa Taifa?

Hili nalo wakaliangalie! Yaani miaka sijui 70 ya uhuru hata taa tu za uwanja mmoja tu tumeshindwa? Hii ni aibu sana kwa Taifa! Dunia nzima wameona jinsi tulivyo stupid! Huu ni uwanja wa Taifa sio wa klabu hivi hizi serikali zetu Zina shida gani?

Hapa Kuna hujma si Bure! Mechi za Simba taa hazijawahi kuzima kamwe hata wacheze na Lipuli au Abajalo!! Pesa za kununua taa mpya hawana? Back up genereta hawana?

Watu weusi shida sana!
Umeanza vizuri ukamalizia utopolo kwa kuleta ushabiki maandazi. Kwa hiyo zilipozimika kwenye mechi ya taifa stars dhidi ya uganda ni simba ndio walihujumu?
 
Mwaka juzi old Trafford umeme ulikatika
Mechi Kati ya Manchester United vs Brighton
Kombe la dunia Qatar umeme ulikatika
Mechi Kati ya mexico vs Saudi Arabia

Tatizo kutokea huko hakuhalalishi ya kwetu huku!
Halafu huko si matatizo yanayojirudia, yamkini mara moja baada ya miongo kadhaa!

Ukiweza leta reference kama huko ulikotaja umeme uliwahi kukatika ama kusumbua mfululizo….!!
 
Mwaka juzi old Trafford umeme ulikatika
Mechi Kati ya Manchester United vs Brighton
Kombe la dunia Qatar umeme ulikatika
Mechi Kati ya mexico vs Saudi Arabia

Tatizo kutokea huko hakuhalalishi ya kwetu huku!
Halafu huko si matatizo yanayojirudia, yamkini mara moja baada ya miongo kadhaa!

Ukiweza leta reference kama huko ulikotaja umeme uliwahi kukatika ama kusumbua mfululizo….!!
 
Kama ni Rais labda baada ya huyu.

Ila hakuna kitu huyu anafanya kuongea ongea tu ila kimsingi kila jambo tunazidi kurudi nyuma kama Taifa.

Nchi Ina kila kitu lakini Rais hatuna.
 
Kwa mjibu wa sheria za CAF! Zikipita dakika 10 bila umeme kutengamaa, basi yanga ataaga mashindano hayo leo!

Hii ni mara ya pili baada ya ile mechi ya Taifa stars na Uganda, shida ni nini?

Tukienda tu kwa kubembelezana kama ilivyo kwa Waziri wa Nishati! Iko siku tutapata bonge la Aibu zaidi ya hili la umeme kuwa mdogo kwenye uwanja wa Mkapa mechi ya kimataifa inayohusisha Timu za Yanga na Rivers!

Halafu sijui ni kwa nini huwa inakuwa hivi!

Kila mtu aliyewahi kulalamikiwa sana na wananchi kwenye tawala hizi, mtu huyo huja kuwa sababu ya serikali kufeli vibaya na kuwa ya hovyo hovyo tu

Nchi nzima kwani imekosa watu makini hadi iwe yuleyule tu aliyefeli hata kabla ya kuanza?

Hivi majuzi kwenye ziara ya Rais kabisa kule Arusha! Umeme ulikatika mbele yake na bado mh Januar Makamba bado aliendelea kuwa waziri

Mfano

Makonda!
Ni pale mtu aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa kuuza ving'amuzi na kusimamia wafanyakazi kama 20 anapewa shirika kubwa na nyeti la umeme kwa sababu za kiushikaji tu,huyu Mabinzi na waziri wake wapo kupiga dili tu hawana weledi wowote, tanesco inataka Mhandisi mbobezi na sio mtu wa masoko, unaleta mtu wa masoko kwani Tanesco wanafanya biashara ya kuuza umeme au ni watoa huduma ya umeme? kama ni hivyo basi hata Muhimbili wapelekeni wakurugenzi ambao sio madaktari.
 
Rais pia ana uwezo mdogo.

Sasa kama mtu hata anashindwa kujua kuwa anapaswa kufanya mabadiliko ya Baraza la mawaziri??

Kuwa Hawa watu alionao hawatufai??

Sijui ni kiongozi wa namna Gani??
 
na hii ni mara ya pili kwenye michuano hii, etu taa zimezima,any way LABDA ULIOPO DODOMA TUSUBIR UKAMILIKE JAPO SI LEO
 
Ndio maana JPM aliitwa dikteta mana kwa aina hii ya viongozi wa hii nchi aisee bila kipigo hawaelewi.

Ingekuwa ni uwezo wangu, waziri wa michezo na meneja wa uwanja wangerudi makwao na daladala.

Afu kesho utasikia mama anasema hili nalo mkalitizame

F*K
Waziri wa umeme umemwacha wapi wote nikuswaga nje

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom