Aikaeli Mbowe kaonesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa

Aikaeli Mbowe kaonesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa

Aikaeli Mbowe ni baba yake Freeman Mbowe na alishafariki miaka mingi iliyopita, unataka kusema nini?
usiwachanganye duty leaders wa JF waliobadili title ya bandiko kwa faida ya wadau 🐒
 
Hivi inakuwaje mtu mzima unajipingda kuandika upumbav hivi
Inashangaza sana na kwakweli inasikitisha sana,
Yaa karne ya sayansi na technolojia mtu anakua na mihemko tu, na hana fikra mbadala wala mawazo mapya dhidi ya hoja wazi kabisa jukwaani?🤣

ajabu sana aise
 
Mzee Makamba, kati ya wazee wa hovyo kuwahi kutokea pamoja na Wassira wazee wajinga na majanga kwa taifa hili.

Umemuona mzee Warioba? Mzalendo wa kweli na mtanzania HALISI, sikiliza hoja zake linganisha na huu upumbavu wako hapa utajiona ulivyo juha. Mtakutana na Muumba wajinga nyie, Assad kalindwa na warusi, Hezbollah na wairan kaikimbia nchi. Magufuli kaua, kateka sasa ni chakula cha udongo, bado nyie wazee wa hovyo
 
sure,
chadema chairman Freeman Aikaeli Mbowe is a big liar!
He used to say no fear no hate 🤣

but is hating his fellow opposition parties 🤣

kwamba chairman Mbowe afanye coup d'etat 🤣

uchaguzi mkuu wa Oct 2025 ni wa kikatiba na utafanyika kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi na sio kwa kelele za walevi fulani sijui kutoka chama gani huko 🐒
hiyo sio ishu ,ishi ni mabadiliko ya sheria
 
Hakuna chama zaidi ya CCM, Chadema na ACT hata wewe unajua ndani ya roho yako, ila wale watu wengine wanapotumika kwa maslahi yako ndio unaibuka kuita vyama, anyway:Pepepains:
Sema wewe unatumika bila kujielewa. Wenye chama wapo na wenye nchi wapo. Wewe ni kubwa jinga unatumika. Kama unafikiri hiyo ccm iko vizuri, wekeni tume huru, watoeni hao polisiccm,hao uhasama wa taifa na hilo jeshi la wananchi wa ccm .muuone moto wa wananchi.
 
hayo waachie huko Africa magharibi na Mashariki ya kati gentleman 🐒
Wanaotumia mitutu si wengine ni ccm na serikali yake. Ni ajabu sana serikali iliyopo madarakani kuleta vurugu katika nchi. Wao walijaribu kumuua Tundu Lisu, wao ndio wanaoteka na kuua wapinzani. Sijawahi sikia serikali iliyopo madarakani inayafanya haya isipokuwa ni Tanzania tu na chama chao dhalimu cha ccm
 
CHADEMA kwa sasa imepoteza Dira na muelekeo na kubakia kujiendea tu kama kipofu gizani
Lakini kila siku wakitakakufanya mikutano yao mnawatumia policcm kuwazuia na kuwateka na kuwaua hadi na kesi za uongo mnawapa.
 
Kila siku CHADEMA CHADEMA CHADEMA hamna kingine cha kufanya ???
Wanasema CHADEMA kimekufa. Wanakisema cha nini waache kukisema au kumsema mtu aliyekufa. Ni dhambi. Yafaa sana ku deal na vyama vilivyo hai hivyo 14. Achana na hao marehemu. Kwanza CHADEMA hakipendwi na Mtanzania yeyote imebaki kuwa saccos ya Mbowe. Achana nae aendelee kuubeba mzoga wake CHADEMA. Chama kimekufa hicho, sisi tuendelee na ccm yetu inayobebwa na silaha ya moto.
 
Bila ya kuwa na tume ya uchaguzi independent hayo yote ni porojo tu. Kwa utaratibu huu na namna hii ya tume labda kwa coup d'etat ndiyo watatoka.
Kwani si tayari mmeletewa TUME HURU YA UCHAGUZI.....au? 🤣 🤣 CCM bana wanaleta mzaha na watu tuko serious... Ila kwa CCM hii usitegemee TUME hiyo inayotakiwa,,,,

Ndo maana nasema uamsho unatakiwa uanze kwa wananchi kule chini, tukijielewa tukajaza mabox ya kura huo wizi hauna fursa, kwasababu leo CCM wanaamshana alfajiri kwenda kupiga kura na wapinzani hawaendi kwahiyo zikiongezwa zingine huna nguvu ya kuulizia hizo za ziada maana hata hesabu ya wanaohitajika kupiga kura haijafikiwa....
 
Friends, ladies and gentlemen.

Je ni kweli kwamba umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu?

Inaonekana kwenye siasa za Tanzania hasa upinzani, chuki binafsi, migawanyiko, uhasama na utengano miongoni mwa vyama vya siasa eti ndiyo huleta nguvu na ndiyo kipaumbele chao kwa sasa.

Kitendo cha Mwenyekiti wa wa chadema taifa, Freeman Aikaeli Mbowe kuonyesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa vya upinzani, na kujaribu kuvikaripia kwa ukali na pengine kuvielekeza kufikiri kama inavyofikiri chadema, kinaashiria udikteta wa wazi kabisaa.

Je,
huku sio kuingilia uhuru, haki, uelekeo na mipango mikakakati ya vyama vingine vya siasa kadiri wanavyoona inafaa?

huu ni wivu tu au ndiyo udikteta unajipambanua mapeeeemaaaa ili iwe rahisi kwa uma kuudhibiti vizuri kwenye sanduku la kura?

Ni dhahiri chadema haina ushawishi ndani ya chadema yenyewe, haina ushawishi katika upinzani kwa ujumla, na zaidi sana haiaminiki wala haina ushawishi kwa raia na wapiga kura tena. Imebaki na press conference, matamko na kushinikiza tu vyama vingine vya siasa vifanye nini.


Yaani vyama vya upinzani badala ya kushawishiana kwa hoja, kushauriana kama ndungu na kuhubiri umoja miongoni mwa upinzani, eti Freeman Aikaeli Mbowe anahubiri, anachochea na kuhamasisha chuki na utengano miongoni mwa vyama vya siasa. Kweli upinzani, hasa chadema una nia njema na taifa hili ndrugo zangu?

Ni wazi chadema katika ujumla wake, haina dhamira ya kufanya siasa safi, wala haina mipango ya kushinda uchaguzi, ima kushika dola, kuunda serikali, kuongoza nchi wala kuwatumikia wananchi,

Bali chadema ina lenga kuchochea chuki, uhasama na kuligawa taifa katika misingi ya vyama miongoni mwa wananchi wa vyama mbalimbali vya siasa nchini na kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya siasa hasa upinzani, visifanye kazi na majukumu yao kwa uhuru kadiri ya malengo na mitazamo yao, bali vifanye siasa kadiri chadema inavyotaka.

Migawanyiko, chuki na uhasama ndani ya chadema, sasa inachochewa na chadema yenyewe hadi katika vyama vingine vya siasa vya upinzani nje ya chadema. Ni dhahiri kuna tatizo chadema.

Unadhani Chadema ina feli wapi hata kufikia hatua ya kuingilia uhuru na haki za vyama vingine vya upinzani nchini, na asasi za kiraia zenye mipango, malengo na maono yao?🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Hivyo vyama ofisi zao zimo ndani ya ofisi ya CCM Lumumba, huonekana tu wakati wa uchaguzi kwa kutumia vyombo vya habari.
 
Freeman Aikaeli Mbowe kuonyesha chuki dhidi ya alivyoviita vyama 14 vya siasa vya upinzani,
Dogo,
Wacha hadaa, uongo, fitna, utapeli,... nk.
Hivyo 14 unavyoongelea siyo vyama vya upinzani, ni vibaraka na chawa wa ccm kama wewe na hufanya kazi ya ccm pekee
 
Kwaiyo ivyo vyama vya upinzani vinavyotumika na Ccm ndo vinania njema na watanzania
 
Dogo,
Wacha hadaa, uongo, fitna, utapeli,... nk.
Hivyo 14 unavyoongelea siyo vyama vya upinzani, ni vibaraka na chawa wa ccm kama wewe na hufanya kazi ya ccm pekee
ni zaidi ya kibaraka mkuu wa mabwenyenye ya magharibi ndani ya chadema, right?

kwamba anafanya kazi ya mabwenyenye ya magharibi kwa mgongo wa chadema, right? :pedroP:
 
Back
Top Bottom