Air Tanzania, Soko la Afrika Kusini, Abiria ni wengi ajabu!

Sijawahi kuona mtu mchawi kama wewe katika hii dunia... umejawa na roho ya kushindwa iliyopitiliza.... uogo na unafiki mkubwa.... mtu aliyekata tamaa ni hatari sana kwa usalama wa taifa.... wew badala ya kushaur njia bora ambazo ATCL na Serikali yetu inatakiwa kufanya ili iweze kuweka ushindani kwenye soko, umekalia kukatisha watu tamaa.... yaani ningekuwa na mjegeje usingepona kbs mtu kama ili uache kupotosha jamii ya kiTanzania. Nenda ukaombewe au hosp ukatatibiwe kosaikolojia... mawazo ya kushindwa achana nayo kbs ndugu yangu... Nchi inatutegemea sana....
 
SA kimewaka tayari Comair (Kulula.com+BA) chali. Njia nyeupe kwa ATC kuomba fifth freedom rights...tutue OR Tambo then CPT kisha Dar...from Dar tuongeze Dubai, Beijing, New York,JFK na London, Heathrow.
 
Kuna masuala yana sheria zake,kabla hujatoa maoni kwenye mambo hayo jifunze sheria zake
 
Internal routes zimewashida ku capitalize sembuse hizo za kimataifa ATCL hawawezi biashara ya ushindani,.......bora fast jet irudi tu angalau ilikua na ushindani mzuri
Fast Jet ilikuwa na ushindani mzuri, ilikuwa inashindana na nani?
 
TZ kila mtu ni mpishi, kila mtu anajua kuelezea nadhari nyingi. ATCL walikuwa wamekufa kabisa kwa wingi wa madeni.

Haiwezekani wakaamka ghafla tu wakauweza ushindani wa Ethiopian Airline. Tukumbuke kuwa hizi siasa za kila mtu kutaka kuwa na sauti na maamuzi ndani ya shirika linaloongozwa kisomi ndio yalitufikisha hapa tulipo.

Matinyi na wasaidizi wake waachwe wafanye kazi ngumu ya kulifufua shirika.
 
Akili za kimaskini siku zote hazioni jema hata moja. Anachosahau ni kuwa ATCL na TCAA zinaongozwa na wasomi wenye uthubutu.

Madeni ya ATCL yanazidi kupungua siku baada ya siku na miaka michache ijayo faida itaanza kuonekana, Walioua shirika miaka ya nyuma wakaliacha hoi kwa madeni ni hawa hawa wanaoandika riwaya ndefu zilizojaa ujuaji usio na msaada kwa uendeshaji wa mashirika yetu.
 
ATC fursa umejileta yenyewe hiyoo
 
Route zetu za kusubiria waheshimiwa wacheleweshaji ndege, kimataifa wataweza!?!
Wabakie Tu na route ya Dodoma Mwanza Kilimanjaro Mbeya, na kule Mpanda sijui bado wanaenda!?
Hakuna kitu kinaniudhi kama hii issue ya kusubiria Waheshimiwa. Kuna siku tulichleweshwa Uwanja wa Ndege wa Dar kwa muda wa masaa 4, kisa kuna Mheshimiwa yupo kwa meeting anatakiwa apande hiyo ndege. Kuanzia wakati huo huwa sipandi ATCL napanda zangu Precision Air.
 
Hamna linaloshindikana ATCL wakiamua na wakipewa support na serikali. Kumbuka hao wote wanategemea kwa kiwango kikubwa abiria wanaotembelea Tanzania. Tanzania haina cha kupoteza kwa maamuzi yoyote itakayoamua katika hizo route.
ATCL ili wafanikiwe wanatakiwa wabadilishe mindset zao kwanza. Usafiri wa Ndege hauendeshwi kama Daladala ya Kariakoo - Buza kwa Lulenge!
 
Swali tu: hivi Air Tanzania wana strategic business planners wanaoangalia kila siku mabadiliko ya hali ya usafiri duniani kote? Sidhani! Route ya Dar-Cairo- Athens ingekuwa ni killer route. Nimesafiri lakini leg ya kutoka Cairo Athens ilikuwa fully booked kwa miezi miwili ijayo! Hakuna ndege!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…