Ajabu na kweli: Padri wa kanisa katoliki kaoa mke na anavuta sigara kali!

Yaani nimecheka heading ya uzi kabla sijasoma uzi wenyewe 🤣🤣🤣
Nilivyosoma ndio kabisa nacheka mpk machozi……!!! Countrywide njoo Hatimaye baba Padre kafikiwa huku
 
Kuna padri mmoja aliniacha hoi kwa mshangao. Baada ya kumaliza misa kigangoni akaelekea kunywa pombe iliyokuwepo jirani, pombe yenyewe ni ya kienyeji. Baada ya kutoka kwenye pombe akabukia kiko mdomoni kisha akawasha gari yake kurudi parokiani. Mshangao ni kwamba inakuaje mtu wa Mungu atoke kwenye ibada na kukimbilia kunywa pombe kisha aongeze kilevi kingine cha tumbaku kwenye kiko na avute? Mungu gani huyo wa hovyo kuruhusu watumishi wake wawe walevi?
 
Picha iko wapi wewe! Namna gani wewe
 
Igizo
Kama ni halisia mtaje jina na alipo sisi wanasheria tutakulinda
 
Mbona babu yetu alikuwa anaishi na mwanamke na kuzaa nae watoto kabisa,

Huku songea hao wakuitwa ma padre wamezalisha hatari,halafu wanajifanya siri,

Hakunaga siri chini ya jua.
 

Mnajua fika nguvu ya kanisa ipo kwenye utowashi,ndio mana mnahangaika ili kanisa liingiwe na udhaifu,mwanaume aliyeoa na mwenye familia ni dhaifu mana hawezi kujali maslahi ya taasisi na kuacha ya familia.

Naomba kanisa lishikirie msimamo huo huo wa matowashi ambaye hawezi aondoke.
 
mi kwanza ncheke 🤣😂
mmhh tueleze kwanza wewe unavuta nini hapo ulipo?

hizo hasira dhidi ya huyo Padre zimetoka wapi?

na huyo Padre ameanza lini hayo mambo? Ulijiskiaje baada ya kuanguka chini?

sasa si umkataze asiende kuungama nyakati za usiku......

njia nyingine ni kuhama kanisa maana kupitia kikundi cha wanawake ndio maana anaenda kwa Padre mara kwa mara na hawezi acha na inaumiza sana ....

Fanya ivo usije ukapoteza maisha kwa presha, chako hicho kinaliwaje kizembe ivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…