Al Ahly waweka wazi Simba ni Club namba moja Tanzania, Yanga ni ya pili

Hicho ni kimbelembele chenu

Amewasifia ili kutudiscourage

Yeye aje acheze hapa bongo
 
Kwaiyo Aly ahly wakiongeza ivyo wanawapunguzia yanga ubora wao?
Au wanaiongezea Simba ubora kuizidi yanga? Mda mwingine MUWE na akili kidogo msipende kumpa Bwana Rage sifa kwa umbumbumbu wenu!
 
Hii mechi nilikuwepo Taifa nilishuhudia mwenyewe kwa macho yangu bila msaada wa kichupa.
 
Kwaiyo Aly ahly wakiongeza ivyo wanawapunguzia yanga ubora wao?
Au wanaiongezea Simba ubora kuizidi yanga? Mda mwingine MUWE na akili kidogo msipende kumpa Bwana Rage sifa kwa umbumbumbu wenu!
Ebu kajifunze kuandika kwanza

Na kwa bahati mbaya hautapata hiyo nafasi ya kujifunza kwasababu wewe by default hauna akili except uwe Sunday Manara au Kikwete

Otherwise uuhame timu
 
Ukitaka kumpata demu msifie sijawahi kuona mrembo kama wewe, uta tako kubwa, shape kama Carribbean queen atakupa hadi vitu haramu
Hao walikuwa mademu wa kizamani

Kama sio wakizamani basi ni huko bush kwenu ndio kuna hizo falsafa.

Mademu wa siku hizi wanataka hela
 
Okay baada ya kukusifia kikatokea nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…