Aliyemuoa mtoto wa Rais Hussein Mwinyi ndio kaoa,sie wengine tulioa ili mradi tusije kufa bila kuacha watoto

Nilichowaza hivi na mama yako yupo kwenye hili kundi la wachoyo?, unajisikiaje kidharauliwa na mama wa hovyo. Wewe ni mpuuzi kazi kusifia ujinga.
 
Umeidogosha sana taasisi ya ndoa kwa kuifanya iwe ya kibiashara zaidi.

Kama kumuoa mtoto wa Mwinyi ni ujanja, hata mimi nilikiwa na chance kuoa.

Ila aliponiletea mashauzi nilimpiga kibao, nikamaliza mashauzi.

Mm nasema hiv sabab kaka yake rais namjua kabisa n namb yake ninayo huyu bint yake ndo simjui. Na mm miaka ijayo naoa hapohapo
Kila la kheri
 
Mwali una balaa umenitumia vikumakuma njoo chumbani tuyajenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…