Aliyemuoa mtoto wa Rais Hussein Mwinyi ndio kaoa,sie wengine tulioa ili mradi tusije kufa bila kuacha watoto

Hamna mistake mbaya hasa kuithaminisha ngono kwa hela na ndio maana mapenzi siku hizi yamekosa maana kabisa.

Mabinti wanaforce wapate wenye hela na wapo tayari hata kuharibu ndoa ya mwanamke mwenzake kwa kutembea na mme wa mtu.Ukija kwa vijana wa kiume siku hizi kuna wimbi la vijana wanaodate na mishangazi ili mradi wapate fedha na hata kijana akitaka kuoa nae analenga (mwanamke mwenye fedha).Wazazi nao nyumbani kila siku wanawambia vijana wao tuletee mtu wa maana,huyo wa maana sio eti mtulivu, mwenye heshima au mcha Mungu bali ni mtu wenye fedha.

So sababu ya fedha mapenzi siku hizi hayana maana, ndio maana uvumilivu hamna na badhi ya ndoa nyingi za siku hizi zimepoteza maana.
 
I never heard nonsense and stupidity word before than yours.

Your are very uncivilized person to exist in the world.
 
raha si kuoa binti wa rais, je ni pisi ya kiwango cha international au ni kama wengine tu,,,,!!!

Je ni mke wa ndoto zako,,,????

halafu urais wenyewe una ukomo after fixed years she will not be a president's daughter!!!

Mtoa mada ni chizi!!!!
 
Msimamo wangu bado tu utaendelea kuwa ni ule ule wa Kuwabandua bila Huruma kila ninapopata hiyo bahati Kwao.
 
Sema wee ndo umeoa ili usije hauna mke . Pia soo sawa kutujuisha watu usiowafahamu
 
Akili za VIJANA MARIOO hizi.

Ila kama mwanaume ambaye hupendi kulelewa na wadada huwezi tafuta ganda la ndizi uteleze...
 
Nimekuelewa vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…