Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni haki yake ya msingi kikatiba.Watanzania Siasa bado...watu wanafanya siasa ni ugomvi!! kuhama chama ni jambo la kawaida na linaruhusiwa...
Tumeshauri sana na tukaambulia kejeri na matusi.
Huyu intelijensia ya CHADEMA ilishammulika kitambo tu ila ilisubiriwa wakati muafaka wa kumpiga chini bila kelele wala mikwaruzo.Huyu Dr mashinji Duh! By the way ndiyo maana Mbowe hakumpendekeza kuwa katibu mkuu alishamuona kuwa na dalili ya Kuunga mkono juhudi
Kama hamkuona mchango wa Slaa baada ya kuhama itakuwa Mashinji?
Hakuna jipya!
Atafutiwa mashtaka watasema kulikuwa na typing error kwenye charge sheet. Chezea maagizo toka juu wewe!Tukumbushane kuwa ana kesi ya uchochezi pale Kisutu.
Bahari inatapika uchafu wakeWenye chama chao wanaamini ndiyo kinaimarika zaidi sasa hivi. [emoji16]!
#MwambaTuvushe! #5Tena!
Tumia akili hata hiyo kiduchu uliyo nayo, pigo gani wakati alishapigwa chini? Ingekuwa bado ni KM sawa, hivi unajua kwa nini alitupiwa virago?dah ni pigo kubwa sana la CHADEMA ikiwa ni siku chache tu baada ya MWAMBE na SUMAYE kuhamia CCM haiya kazi ndo kwa kwanza imeanza ikiwa ni dakika ya tatu ya mchezo mpaka tukafike 45 sijui itakuaje
Muda utasema mkuuJuzi humu nilisema bado Mashinji leo hii tayari sasa bado mmoja huyu wa ubongo