Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhama chama ni haki ya msingi ya kila mtu kikatiba, ndiyo maana Tundu Lissu alihama kutoka NCCR Mageuzi na kwenda Chadema, Zitto alihama kutoka Chadema na kwenda ACT, Sumaye na Lowasa walihama kutoka CCM na kwenda Chadema na baadaye wamerudi tena CCM, Nyarandu alihama CCM na kwenda Chadema, Maalimu Seif alihama CCM na kwenda CUF na baadaye ACT.Next ni Bulaya na wenzake.
Mkuu nch ngapi hii na sh.ngapi?Here we go. Ngoja tuona hizi juhudi za wakosaji View attachment 1361486
Sent from SM-G950F using Jamii Forums mobile app
JamiiForums ni kiboko. Mambo motomoto unayapata kabla hata hayajatoka jikoni.
Huwezi kuwa chadema kabisa wewe naapa! CHADEMA hakuna asili ya umbeya na ushambenga!Halitasalia jiwe juu ya jiwe, asema bwnaa wa majeshi. Bado kusikia Erythrocyte na Salary Slip . Muda si mrefu Chadema mpya itachipuka chini ya Kamanda Mnyika.
Nasi wanachadema tulio uhamishoni, tutarejea nyumbani kwa furaha.